Recent content by maifu

  1. maifu

    Jinsi ya kumrudisha umpendaye

    asante kwa ushauri tutauzingatia
  2. maifu

    Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

    Pole kwa kuachwa kwa staili hiyo
  3. maifu

    Ukioa kwenye familia ya aina hii, uwe tayari kuendeshwa na mama mkwe.

    Nilikuwa sifahamu kazi kweli kweliiiii
  4. maifu

    Kwa nini wanawake mna roho mbaya? Jifunzeni kwetu wanaume.

    Naona ulikuwa huna cha kuandika
  5. maifu

    Natafuta hata boyfriend tu jamani upweke unaniuaa

    Pole ila usiwe na pupa tafuta taratibu
  6. maifu

    Tahadhari kwa kina mama wapendao kwenda ufukweni

    Bado sijaelewa hiyo mada
  7. maifu

    Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

    Hii ni chuki juu ya uislamu na waislamu kwa ujumla jamani tujihadhari sana tusije tukafika pabaya
  8. maifu

    Mwaka wa pili mpenzi wangu hataki tufanye mapenzi wakati huo huo anadai ananipenda

    Mkiwa wapenzi haimanishi mpaka mfanye sex ndio uone unapendwa wakati enzi za mababu zetu ilikuwa hawajui ni mtu gani atamuoa mpaka siku ya ndoa ndio anamjua sas ww miaka miwili tu unaiona mingi unataka kugegedua au kugegedwa
  9. maifu

    Wadada makwapa hayo

    Sio wanawake tu hata nyinyi pia mnakera na kufuga manywele yenu tena mnanuka ile mbaya
  10. maifu

    Mapenz ya whatsapp..

    Huyo aliyeweka hiyo mada nahisi ndio mchezo wake
  11. maifu

    Kwa staili hii Miaka Ijayo Mahausigeli Ndo watakuwa Wake wa Kuoa..!!

    Umesema kweli midada imezidi utakuta mwingine hadi nguo za ndani anapewa housgirl afue ndio ulivyofundishwa kwenu ingekuwa hivyo basi mama yako na bba yko wasingekuwa pamoja hadi leo
  12. maifu

    Mnaokataa kuolewa/kuoa mna ajenda gani ya siri.

    Siku hiz hakuna mapenzi haina haja ya mtu kukimbilia kuolewa/kuoa watu wote matapeli wa mapenzi
Back
Top Bottom