Mkiwa wapenzi haimanishi mpaka mfanye sex ndio uone unapendwa wakati enzi za mababu zetu ilikuwa hawajui ni mtu gani atamuoa mpaka siku ya ndoa ndio anamjua sas ww miaka miwili tu unaiona mingi unataka kugegedua au kugegedwa
Umesema kweli midada imezidi utakuta mwingine hadi nguo za ndani anapewa housgirl afue ndio ulivyofundishwa kwenu ingekuwa hivyo basi mama yako na bba yko wasingekuwa pamoja hadi leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.