Wadada makwapa hayo

Sio wanawake tu hata nyinyi pia mnakera na kufuga manywele yenu tena mnanuka ile mbaya
 
Ila kuna makwapa jamani mengine sio siri yamekomaa...kama uvungu wa korodani...
Wadada hebu muwe mnayaficha basi...au sijui ule usugu na ule ukoko kama uchafu wa vocha husababishwa na yale mapochi huwa mnayakumbatia kutwa....!!!

Unamkuta mdada kavaa kitopu mkono wa kulia kashika bomba kwenye daladala, misharubu ya huko imejichomoza kama mimeno ya mamba...halafu mkono mwingine kashikilia simu anachonga umbea na shosti...hiyo harufu yake salaleeee

Hahahahahaha kwel aiseeeee ishanitokea nilitaman kumwambia
 
Wanaume wa aina hiyo hawapo????unapoongelea swala la usafi jaribu kuBalance mambo na sio kuwa bias sawa eeeehhhh????

Bora aliyekomaa kwa wembe.....wapo wanaume wakivaa vest zao fulu kichaka tena cha njano waweza sema mvii si mvii rangi ya shabaaa lol!!!!!

Wengi wao usafi kwao ni mpaka mgombane,si wa mwili wake wala getoni kwake...full uchafu yani,ni vile tunawasitiri tu
 
Unabisha nini na wewe usitake kuzuga kwani hapa umeona kibao chochote kimeandikwa 'twaongelea wanaume...'
Tena huwa twawasitiri tu...unakuta mwanamke ana kwapa jeusiiiii kama kaangio la chipsi dume...halafu huku pembeni pembeni sasa sijui ule ni ukurutu kama masizi ya kibatari...

Yaani ningekuwa na uwezo ningeiomba hata serikali iwajengee vituo maalumu vya kuyasugua na kuyasafisha hayo makwapa yenu...msije pata kansa bureee

Umeamkia ubavu gani leo?
 
Mwataka tubalansi kwani siye twauza nyama buchani hapa...
Wanaume wanajiachia wazi kwa kuwa wana misuli ya kuonyesha...
Sasa nyie mwajiacha wazi hiyo misuli yenyewe iko wapi kama si mwatuonyesha misharubu tu ile kama kibrashi cha chachandu...eboh!!

mmhhhh!!!! we rafiki weye...
kwahiyo shida ni kukaa wazi ama kuachia zile nyasiiiii!!!!!
Mbona wanaume wanatutisha na ivo vichaka kama msitu wa amazon sie tunavumilia tu...
Si bora hata waliojaribu kufyeka wakabaki na ukoko kuliko wanaume ambao wengi wao hawajui kama huo msitu uwa unafyekwa!!!!
 
Unakuta mdada kavaa kitop halafu kwapa nje,inarusha stimu kwapa yenyewe imekomaa kwa kukwanguliwa kwa wembe kwapa nyeusiii....inaboa sana wengine tuna let muonekano wa kwapa na papuchi zenu.

Binti kwapa mda wote imeloa jasho inatema mbaya tena imeotea utoko utoko daaah hata mzuka wa kupiga mzigo unapotea hebu kuweni wasafi na muwe mnazifichaga hizo kwapa.wenyewe mnaona usasa na hizo top zen kuacha mikwapa wazi mnakera sana.

Nikweli mjukuu umetisha.
 
Back
Top Bottom