Kwa kweli baada ya vita vya kagera, bunduki nyingi tu zilisafirishwa kwenda bwerege. Kiasi cha silaha kilikua juu kiasi kwamba silaha ingenunuliwa kwa ng'ombe mmoja. Silaha hizo zilisambaa hadi hapa Kenya na ndizo zinazotumika kwa operesheni ambazo siezi kuzitaja. Itakua ni kuisaliti jamii
Sent...
Mbona hapa Kenya mabinti hawachukulii wakuria kama katili jinsi watanzania mnavyochukulia. Na ilhali nyinyi watanzanaia mnadai eti hamna ukabila. Kumbe heri nibaki apa Kenya nipate kuoa kabila lolote ninalolitaka kuliko kuja tz niambiwe ati kabila langu katili.
Proud to be Kenya
Proud to be a...
Hahaha ati Kuria county. Mimi ni mkuria bana. wakuria kwa ujumla wana koo nyingi mno ambazo zinachanganya ila wa hapa Kenya zipo NNE tu, bagumbe ( bharenchoka), bakira, banyabhasi na bairege. Kisha huko Tanzania koo hizi ni nyingi alafu zimechanganyika tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mura wanaezaje tuita warisia. Walai ata siamini. Labda wana uji mwingi kichwani na hao watafita wakome kuja musoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee isiwe tabia ya mtu mmoja mkailimbikizia jamii mzima. Msichana halazimishwi kukeketwa anakwenda mwenyewe. Na kuhusu misuli, ni kutokana na mazingira ya vita vya kila wakati
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.