Wakurya acheni kuwaloga walimu....

Wakurya acheni kuwaloga walimu....

mkurya hajawahi kuwa na uchawi, hao ni wahamiaji wachawi, mkurya akiwa na shida na wewe Panga,sime,mkuki,shale,rungu ndio utaongea navyo sio uchawi
 
Qq
Hasa wakurya wameanza tabia za kigoma
Walimu wamelalamika sana kulogwa na kina mwita, chacha na marwa, hebu sikia, yan.mchawi anakula mpaka samaki ndani ya Nyumba za watu,
Mke wa mkuu wa shule amelogwa kazaa parachichi na chupa ya coca,

Chakula cha walimu kinaliwa na wasiojulikana usiku,

Mbaya zaid mpaka usiku wana...

Sw

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh apana. Ukuryan nimekaa sana ila suala la uchawi hapana. Kama mtu ana shida na ww anakuijia mchana kweupe mnamalizana wala hakuna kona kona. Labda hao ni wahamiaji tu mana saiz ukuryan sio kwamba 100% ya wakazi ni wakurya saiz kuna mwingiliano wa watu
 
hahahahaha....... mtu katunza mimba miezi tisa, kapatwa uchungu, halafu kazaa mapacha wasiofanana yaani parachichi na chupa ya kokakola?????? inahuzunisha lakini nimecheka.
 
Musoma vijijini hakuna wakurya kuna wazanaki na waikizu hawa ni kweli uchawi wanao sana,, wakurya wako Serengeti na Tarime huko uchawi hauna nafasi ni mapanga tu,,
 
P
Hasa wakurya wameanza tabia za kigoma
Walimu wamelalamika sana kulogwa na kina mwita, chacha na marwa, hebu sikia, yan.mchawi anakula mpaka samaki ndani ya Nyumba za watu,
Mke wa mkuu wa shule amelogwa kazaa parachichi na chupa ya coca,

Chakula cha walimu kinaliwa na wasiojulikana usiku,

Mbaya zaid mpaka usiku wana...

wakuria chimbeni vyoo acheku kunya ziwani kenge nyie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom