Sitaki kuamini kama TANESCO yetu thabiti inakera kiasi hicho. Suala la kutuunguzia vifaa vya ndani kama vile TV, RADIO, FENI, JOKOFU, FRIJI n.k, imekuwa ni jambo la kawaida huku kwetu. Unapouhoji uongozi unaambiwa umeme umejiongeza nguvu. Kinachonishangaza zaidi ni kwamba, suala la kujiresi...