Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Ni kweli, kuna wanafunzi tisa wapo kwenye mazoezi viwandani (PT) aka field hapo TANESCO. Juzi walikuwa wanafundishwa namna ya kukata umeme, jana wakaanza kujaribiwa mmoja mmoja kama wameelewa, kwa hiyo jana ilikuwa zamu ya mwanafunzi wa kwanza kujaribiwa. Leo ni mapumziko, wa pili ataendelea kesho hadi waishe wote, ila kunaweza kukawa na interval fulani kati ya mwanafunzi mmoja hadi mwingine kuepusha malalamikoNahisi kuna watoto wanachezea umeme TANESCO