MAHELO. E.B
Member
- Aug 13, 2013
- 27
- 6
Mikataba mbalimbali inayosainiwa na viongozi wetu hapa nchini ipo kwa masilahi ya viongozi wenyenyewe au kwa masilahi
ya wananchi?
Na kama ni kwa masilahi ya sisi wananchi, kwa nini mikataba hiyo haiwekwi kwenye magazeti ya serikali ili nasi wananchi
tukaisoma na kuielewa vizuri kabla ya kusainiwa?
ya wananchi?
Na kama ni kwa masilahi ya sisi wananchi, kwa nini mikataba hiyo haiwekwi kwenye magazeti ya serikali ili nasi wananchi
tukaisoma na kuielewa vizuri kabla ya kusainiwa?