Hakika umenena Mkulu wangu,,,ukijielimisha na maswala ya kijamii kwa kijipatia elimu utangundua kuwa wanaoangamia ndio wanaabudu,,,,hakuna elimu iliyokomboa jamii bila jamii kuyumia elimu kujikomboa,,,nchi ikiandaa mazingira mazuri kwa wanajamii naami watakuja kungundua adui ni nani? But...