Acha kufananisha puli na mambo ya ajabu ajabu... Nina more than 10 years napiga puli, na show napiga za uhakika... Tulikuwa na chama kabisa o level (CHAPUTA) yaani Chama cha Puli Tanzania, na tulikuwa tunachagua viongozi kabisa... Mwenyekiti, katibu....
Pumba kabisa.... Yaani unatetea kitu miaka kibao halafu unakuja kukipinga kitu hicho hicho, sasa nani kichaa kati ya wewe uliyeandika uharo na Lissu????
Umeandika bonge la pumba... Kwa hiyo comment yako ina-ligalize mtu ambaye nafasi yake haihitaji vyeti kumiliki vyeti feki? Daah nchi hii ya ajabu sana aisee...
Kwenye daladala anaweza kuingia mama mtu mzima, sista du kakaa jirani na mama (ambaye hakubahatika kupata siti)... Sista du anachuna kama hajamuona... Brotherman aliyekaa mbali atasema "Mama njoo ukae hapa".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.