Recent content by Mahamudu Negro Peligro

  1. Mahamudu Negro Peligro

    Kwa mara nyingine tena, leo nimethibitisha puli ni mchezo hatari sana duniani

    Acha kufananisha puli na mambo ya ajabu ajabu... Nina more than 10 years napiga puli, na show napiga za uhakika... Tulikuwa na chama kabisa o level (CHAPUTA) yaani Chama cha Puli Tanzania, na tulikuwa tunachagua viongozi kabisa... Mwenyekiti, katibu....
  2. Mahamudu Negro Peligro

    Prof. Muhongo kutoka si suluhisho: Tatizo mikataba ikoje?

    Waliokuwa wanapitisha walikuwa wamelewa?
  3. Mahamudu Negro Peligro

    Madhara ya kusomea British Common Law, yaonekana!

    Pumba kabisa.... Yaani unatetea kitu miaka kibao halafu unakuja kukipinga kitu hicho hicho, sasa nani kichaa kati ya wewe uliyeandika uharo na Lissu????
  4. Mahamudu Negro Peligro

    CCM chini ya Magufuli si salama, majizi wote kimbilieni CHADEMA

    Sasa we papasi wa kijani.... Nape ameiba nini????
  5. Mahamudu Negro Peligro

    Rais Magufuli hajatekeleza hata ahadi moja soma hizi ahadi zake alizozitoa na ilani

    Mwaka???? What the hell do u mean? Yaani from october 25, 2015 to May... 2017 ni mwaka? Shit!
  6. Mahamudu Negro Peligro

    Looking for a handsome man aged 32 - 40

    Vigezo hivyo labda mbinguni.... [emoji126][emoji126][emoji126]
  7. Mahamudu Negro Peligro

    Nahisi hili jitu linachukua msichana wangu

    Daah we boya... SAMAHANI LAKINI...
  8. Mahamudu Negro Peligro

    Rais Magufuli: Nasubiri ripoti ya wafanyakazi waliofoji vyeti

    Umeandika bonge la pumba... Kwa hiyo comment yako ina-ligalize mtu ambaye nafasi yake haihitaji vyeti kumiliki vyeti feki? Daah nchi hii ya ajabu sana aisee...
  9. Mahamudu Negro Peligro

    Kwanini wanawake huwa hawapendani??

    Kwenye daladala anaweza kuingia mama mtu mzima, sista du kakaa jirani na mama (ambaye hakubahatika kupata siti)... Sista du anachuna kama hajamuona... Brotherman aliyekaa mbali atasema "Mama njoo ukae hapa".
  10. Mahamudu Negro Peligro

    Exclusive: Askofu Gwajima atoa cheti chenye matokeo ya kidato cha nne ya Daudi A. Bashite (Makonda)

    Umesahau laptop kwa walimu na milioni 50 kila kijiji mkuu [emoji3]
Back
Top Bottom