Watanzania wengi bado hatujajua biashara za mtandaoni kaka ndo maana unapata shida yote hiyo. Sijui anapata ugumu gani kuandika bei za bidhaa zote ulizo muuliza au alizonazo kwa kisingizio eti ziko nyingi, “upuuzi “. Mbona ktk supermarkets bidhaa zote zimeandikwa bei na biashara inafanyika kama...
Vyuo vya serikali unaombea online kupitia CAS,,ila vya binafsi unaombea vyuoni moja kwa moja. Tembelea kwenye website za vyuo husika download application form,ijaze then nenda benki kawalipe application fee yao then unaituma chuoni form yako usubir then matokeo.
Umepumzika miaka 8 bado unataka kupractice hizo safe plan methodologies,, at the same time unataka mtoto wa pili bado cjaelewa exactly what do u really want to know.
Anyway turudi ktk suala lako,,in short huwezi kutumia kalenda kama mzunguko wako hauko stable
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.