Unauliza jibu.
Bado Mbowe dadeki zake!
Una akili sana we jamaaHuyo aliji record makusudi kishaona ACT haina tija wala mwelekeo. Katumia akili sana kuachia ngazi, ha ha ha ha
Jamaa wanasema unapumuliwa. Hivi ni kweli au uzushi wa walimwengu?- hahahahahahaha watu wanaona wivu wanajifanya maadili hahahahahaha sisi tunakula batazz batazzzz na le wabebezz hamna cha nani wala nani hahahahahaha, watajifunza sasa
le Mutuz
Ni mtoto na huenda ni mshamba mshamba.
Hivi unadhani sisi wengine hatuyafanyi hayo?
Wengi wetu tunayafanya sana, na ni jinsia zote, lakini tuna akili za kutosha kuweza kujua tunayafanyia wapi na tunayafanya na nani na hakuna cha kupiga mapicha wala kurekodi video.
Yule binti ninamtilia shaka sana , atakuwa kavuta mpunga wa mtu ili kummaliza Msando , ni demu wa hatari sana !afadhali akaendelee kula bata zake kama kawaida.
Kuna video ya leo Gigy anasema yeye alimpost tu kama anavyopost akiwa ana wanaume wengine so sio albert aliyepost.You are in the same line of thinking kama mimi.
Gigy anadai kwamba Albert mwenyewe ndiye kasamba hiyo video clip. If this rings true, what was the motive behind? hakujua consequences zake? ama was he drunk?
Yes, this sounds like maigizo hivi. Possibly the incident was deliberately framed.
-Kaveli-
Ametafakari vizuri uamuzi wake asijekuwa kama Lipumba akaja kuleta ukaragosi wake
Utasubiri sanaNatamani na mvamizi wa Clouds naye afate nyayo hizi.....
Kosa gani la jinai kwa Makonda. Kutaja wauza unga au?Hongera, ila mtu kama Makonda ni ngumu mana akijiudhuru jela moja kwa moja kwa uhaini na makosa ya jinai lazima ang'ang'ane kama chawa kwenye pindo za chupi
Kuna video ya leo Gigy anasema yeye alimpost tu kama anavyopost akiwa ana wanaume wengine so sio albert aliyepost.
Tupia link mkuu,,au video yenyewe tuione maana ndo wanavyotakaAjifunze inaelekea ni tabia yake, kuna video imewekwa insta yupo na kadada kengine kitandani.
Anamuumiza sana mkewe, watoto na familia kwa ujumla.
Mwinjilist ni kitabu gani na sura gani?
Mmmmmmh Biblia kumbe ipo makini sana