Recent content by Magwega wa chiguru

  1. M

    CCM na Serikali inajifunza nini kwa Kenyatta kumruhusu Odinga kuapishwa? Wao hawana intelejensia kama ya kwetu

    Racist, ujaluo na weusi una mahusiano gani na hiyo story. ..... , ./_,,_,,, , , ,., _ ,, , ,./,_, ,,,__
  2. M

    KAGERA: Watatu jela maisha kwa kuchoma kanisa la EAGT

    It's very funny!! Mahakimu (mahakama zote)wote walio mhukumu Babu seya na wanae walikuwa hawako sawa na hawakutenda haki ila kwa Muhammad na wenzake mahakimu na prosecutors wametenda haki. Double standards
  3. M

    Wenye magari: Mnaibiwa sana kwenye petrol station

    Pumba zimemzidia (old fashioned marketing strategy )
  4. M

    Watanzania tumelogwa na nani tunashangilia walawiti kuachiwa, tumewafikiria wahanga?

    Kwa magu mimi sikuona ajabu hata kidogo kwa sababu wanasiasa wanaweza kufanya lolote kutimiza azma zao. Cha shangaza ni jamii yetu ambayo inashangilia kwa watuhumiwa wa ulawiti/ubakaji kupewa msamaha. 1. Je, wananchi hawana imani na vyombo vinavyosimamia sheria kama mahakama na police? 2...
  5. M

    Barua ya wazi kwa mheshimiwa Raisi.

    Jemedari yeyote ambaye askari wake wa chini hawamuelewi ni vigumu kushinda vita. Ili kushinda vita unahitaji mambo mengi,na kubwa kuliko yote ni morali,wasaidizi wako wanafanya kazi za kinafiki ,ndani ya miiyo yao kuna chuki kubwa dhidi yako na wateule wako wachache, na liliotokea Zimbabwe liwe...
  6. M

    Hongera uhamiaji Kenya na Tanzania kwa OSBP

    Namanga walichelewa Mtukula, na Busia walilifanya mapema kabisa . wenzetu wanataka East Africa federation lakini Watanzania hawataki kwa sababu ya Roho ya Korosho ( Roho mbaya)
  7. M

    Tanzania yalamba dume baada ya kukamata ng'ombe 6648 wa Uganda

    Watanzania naturally tuna Roho mbaya sanaaaa. Hili utalijua kutokana na reactions zetu kwenye social media na vijiwe. Nakumbuka kipindi mtikila akiwa chati na kuwaita Watanzania wenye asili ya India magabacholi. Wakati mwalimu anataifisha mali tulifurahia na kumshangilia,pale kiumbe...
  8. M

    Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

    Kumbe wanajua hili jambo halifanywi na hata hayawani. Let us assume kweli wanafanya then what? Mpiga picha na mleta mada hiyo promo iwarudie huko mliko
  9. M

    Kivipi 16% ya Tanzania ni sawa na 84% ya Barrick?

    Dear wana JF. Ni vigumu sana Ku deal na mabepari,especially kwenye sector ya madini. Kuna vitu viwili katika mgawanyo wa madini. 1. Royalty 2. Joint venture Mimi sijaona hayo makubaliano lakini kama serikali imechukuwa namba mbili kama chaguo imeula wa chuya. Joint venture mnagawana faida baada...
  10. M

    Hoja kwa hoja: Wakosoaji wa uteuzi wa Gavana mpya Benki Kuu ya Tanzania, mnayajua haya?

    1960's na leo iko tofauti kubwa kabisa ya wasomi na majukumu. Je ,nini job description ya Gavana BOT na je ni masuala ya kutengeza policy au kuna mambo technical ambayo anatakiwa awe na knowledge nayo.? Kabla ya kuhukumu kulalamika ni vizuri kujua anatakiwa kufanya nini akiwa ofisini .
  11. M

    Usimchukulie poa Dangote. Mengi, Bakhressa ni vitone tu

    Dangote wakati anajenga kiwanda aliangali soko ,na construction industry ime collapse, unategemea aseme nini zaidi ya kukutaarifu kuwa Jiangalieni hiyo barabara mpitayo tunapotea na sisi sote ni abiria.
  12. M

    Yusuf Manji, siasa za Tanzania, utawala na utajiri wa Quality Group

    Hapa kuna scenario mbili , ya kwanza ni RUSHWA na ya pili ilikuwa UONEVU. Kama tukichukua ya kwanza ni MTU mmoja tu ndio alikuwa na uwezo wa kumtoa kwani ndie aliyemuanzishia hii soo. Tukichukua ya pili , manji si mtu mdogo ndani na nje ya nchi na yawezekana kuna mashinikizo kutoka katika...
Back
Top Bottom