CCM na Serikali inajifunza nini kwa Kenyatta kumruhusu Odinga kuapishwa? Wao hawana intelejensia kama ya kwetu

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Serikali ya Kenya imewaruhusu wapinzani nchini humo kumuapisha kiongozi wao Raila Odinga kuwa Rais.

Wapinzani wanasema Odinga alishinda uchaguzi mkuu wa August 8 2017 na wamepanga kumuapisha leo licha ya kwamba Uhuru Kenyatta alishaapishwa kuwa Rais.

Taarifa kutoka Kenya zinasema Polisi wameondolewa katika viwanja vya 'Uhuru Park' ili wapishe zoezi hilo. Hata hivyo Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo aliwahi kueleza kwamba kitendo hicho cha kujiapisha ni uhaini wa hali ya juu na kwa Sheria za Kenya adhabu yake ni KIFO.
 
Swali la msingi ulilotakiwa kujiuliza ni CHADEMA wanajifunza kitu gani kutoka kwa wapinzani Kenya?

Wapinzani wa Kenya wanazisimamia hoja zao na zina mantiki. Sio kama upinzani wa kina Lissu na genge lake.
 
Swali la msingi ulilotakiwa kujiuliza ni CHADEMA wanajifunza kitu gani kutoka kwa wapinzani Kenya?

Wapinzani wa Kenya wanazisimamia hoja zao na zina mantiki. Sio kama upinzani wa kina Lissu na genge lake.
kujiapisha kuna mantiki gani? au kwa kuwa jaruo anaungwa mkono na anko magu na mantiki/
 
Simple tu.. Raila anaweza kuapishwa...baadae akafunguliwa mashtaka...kesi ikaendelea jamuhuri ikashinda au yeye akashinda maisha yakaendelea na rais wa kenya bado akaendelea kuwa kenyatta..
Kenya wana mengi ya kufanya zaidi ya hili kenyata yuko busy na maendeleo ya nchi na mikutano ya viongozi wa kidunia jinsi ya kuikwamua kenya. Mambo ya kisiasa na migogoro mingine imebaki ikitatuliwa na taasisi hasa mahakama...

Tofauti na huku kwetu..
Mawaziri wote wako busy na siasa...wako busy na uchaguzi...rais yuko busy kupiga simu kwa mtulia ili afike bei...kule sira juzi nilisikia waziri jaffo akisema wakiichagua sisiemu watawatatulia kero zao...kigwangara yuko busy na kutaja majangiri badala ya kuwapeleka mahakani na kuinua utalii ambao kenya wanatumia vivutio vyetu kuingizia pato..

Tumewapa nchi washamba na walipiza visasi wasio na maono!
 
Swali la msingi ulilotakiwa kujiuliza ni CHADEMA wanajifunza kitu gani kutoka kwa wapinzani Kenya?

Wapinzani wa Kenya wanazisimamia hoja zao na zina mantiki. Sio kama upinzani wa kina Lissu na genge lake.

Hoja ya kujiapisha? Raisi ni uhuru kaapishwa kwa mujibu na katiba ya kenya huyo anaapishwa na nani? Au anacheza na akili za wafuaisi wa nasa

Taifa limeoza hadi mawazo ya raia wake poor you michezo ya kitoto anacheza odinga jumuia za kimataifa zinamtambua uhuru kama raisi wa kenya.
 
Mh. Uhuru ana akili sana, huyu anafaa hata kuwaunganisha waafrica wote. he is so intelligent. Nafikiri ni familly background na exposure yake ya uongozi inamfanya awe hivi.

Waache waapishane kwani hilo halimuondolei yeye madaraka aliyonayo. Sababu angetangaza vita nchi nzima imenuka damu, na hata jeshi lingegawanyika ikawa shida kubwa.
 
RAO na mwenzake hawatatokea katika viwanja hivyo. Kilichofanyika ni busara tu kuwa badala ya kupambana na wafuasi ni vyema wakaachwa lakini vinara wao hawataruhusiwa kufika viwanjani.

Kutoka, Uhuru Park, Nairobi
 
Serikali ya Kenya imewaruhusu wapinzani nchini humo kumuapisha kiongozi wao Raila Odinga kuwa Rais.

Wapinzani wanasema Odinga alishinda uchaguzi mkuu wa August 8 2017 na wamepanga kumuapisha leo licha ya kwamba Uhuru Kenyatta alishaapishwa kuwa Rais.

Taarifa kutoka Kenya zinasema Polisi wameondolewa katika viwanja vya 'Uhuru Park' ili wapishe zoezi hilo. Hata hivyo Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo aliwahi kueleza kwamba kitendo hicho cha kujiapisha ni uhaini wa hali ya juu na kwa Sheria za Kenya adhabu yake ni KIFO.
Ndugu, usione vinaelea.... vimeundwa. Hivi wewe unafikiri rais Kenyatta ''anaruhusu'' haya kutokea kwa sababu ni mwana demokrasia? No way... anafanya hivyo kutokana na moto anaojua unaweza kuwashwa na hao NASA! Kwa kifupi ni kuwa huwezi kuletewa haki kwenye kisahani cha dhahabu.
 
Hoja ya kujiapisha? Raisi ni uhuru kaapishwa kwa mujibu na katiba ya kenya huyo anaapishwa na nani? Au anacheza na akili za wafuaisi wa nasa

Taifa limeoza hadi mawazo ya raia wake poor you michezo ya kitoto anacheza odinga jumuia za kimataifa zinamtambua uhuru kama raisi wa kenya.
Nimeipenda hiyo ya Kenyatta mbae ndio rais halisi kuruhusu aapishwe Raila kuwa rais faki ndio ionekane nguvu ya halisi na fake ikoje!
 
Mh. Uhuru ana akili sana, huyu anafaa hata kuwaunganisha waafrica wote. he is so intelligent. Nafikiri ni familly background na exposure yake ya uongozi inamfanya awe hivi.

Waache waapishane kwani hilo halimuondolei yeye madaraka aliyonayo. Sababu angetangaza vita nchi nzima imenuka damu, na hata jeshi lingegawanyika ikawa shida kubwa.
Nyie kweli hamjui siasa za Kenya hata kidogo. Kwa kifupi wananchi wa Kenya sio soft soft na sio waoga! Uhuru anafanya haya kwa sababu hana jingine la kufanya! Umesikia vitisho serikali ya Kenya iliyotoa? Imeviambia vyombo vya habari kuwa chombo chochote kitakarusha hayo matangazo live kitafutiwa leseni. Lakini bado vyombo vyote vimeamua kurusha live bila kujali vitisho. Najaribu kufikiri ingekuwa Tanzania jinsi watu na vyombo vya habari wangejikunyata wakabaki kulalamika kichini chini.
 
Serikali ya Kenya imewaruhusu wapinzani nchini humo kumuapisha kiongozi wao Raila Odinga kuwa Rais.

Wapinzani wanasema Odinga alishinda uchaguzi mkuu wa August 8 2017 na wamepanga kumuapisha leo licha ya kwamba Uhuru Kenyatta alishaapishwa kuwa Rais.

Taarifa kutoka Kenya zinasema Polisi wameondolewa katika viwanja vya 'Uhuru Park' ili wapishe zoezi hilo. Hata hivyo Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo aliwahi kueleza kwamba kitendo hicho cha kujiapisha ni uhaini wa hali ya juu na kwa Sheria za Kenya adhabu yake ni KIFO.
Mikutano hata ya ndani tu ni shida. Itakuwa kuapishwa?
Ile kutangaza tu NIA, Sirro angekuwa ameshafanya yake!
 
Serikali ya Kenya imewaruhusu wapinzani nchini humo kumuapisha kiongozi wao Raila Odinga kuwa Rais.

Wapinzani wanasema Odinga alishinda uchaguzi mkuu wa August 8 2017 na wamepanga kumuapisha leo licha ya kwamba Uhuru Kenyatta alishaapishwa kuwa Rais.

Taarifa kutoka Kenya zinasema Polisi wameondolewa katika viwanja vya 'Uhuru Park' ili wapishe zoezi hilo. Hata hivyo Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo aliwahi kueleza kwamba kitendo hicho cha kujiapisha ni uhaini wa hali ya juu na kwa Sheria za Kenya adhabu yake ni KIFO.
Polisi washakamata magar
Alaf unakuja kutulisha ujinga hapa
 
Back
Top Bottom