Recent content by magufools

  1. M

    Picha: ''Kufuru'' ya Magufuli katika uwanja wa Mnazi Mmoja, Zanzibar

    watu walikua wangi sana ila wingi ni watoto yani ikikua kama ile skukuu au picnic.
  2. M

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    huhuhuuu tumia oil man.
  3. M

    Hizi 50mls Kwa Kila Kijiji, tuchangamkie fursa

    kwani tanzania kuna vijiji vingapi?
  4. M

    Nimekosa mke wa kuoa mpaka leo hii

    tafuta msukuma anaetoka usukumani yani hata mjini hapajui. utaenjoy.
  5. M

    Maisha bora kwa kila Mtanzania: A reflection from Maternity ward

    maisha ndo hayax2 zile sera tu na hii hapakazitu jobless tutaendelea kuepo
  6. M

    Ufoo Saro na Malumbano ya hoja

    abaki tu mana mm napenda sauti yake.. ila anaintercept kama gattuso.
  7. M

    Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

    ccm ni kama simba kwenye pori la swala, ukiwa mtoto wa simba utanufaika tu na nyama ya mawindo, ila ukiwa swala ujiandae kuuawa na kuliwa wote.
  8. M

    Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

    ccm ni kama simba kwenye pori la swala, ukiwa mtoto wa simba utanufaika tu na nyama, ila ukiwa swala ujiandae kuuawa na kuliwa wote.
  9. M

    Msaada wa business, nina million moja

    nunua hisa online. NO STRESS.
  10. M

    Ukivaa jezi za CCM huna amani mtaani lakini Lowassa au za CHADEMA/CUF you feel proud, why?

    yeyote anaeshabkia ccm ni kikwazo tu kwa mabadiliko ya kweli ukawa, ila sio sahihi kuwazomea.
  11. M

    Umeambiwa, Lowassa ni muongo, tapeli, fisadi, na bado una mshabikia! Una matatizo makubwa

    Watu waelewe kwamba wananchi hawaitak CCM, Nothing else.
Back
Top Bottom