Usiwe desperate kuingia kwenye mahusiano let alone kukimbilia kuoa.
Inawezekana umeweka vigezo vya juu sana kwa huyo mwenzi unayemtaka au Inawezekana pia una vigezo vya kawaida tu, ila hujampata wa kwako sahihi. Ni kawaida sana, wala usijione kuwa una mkosi, relax kila kitu kitakuwa mwaaaaaah kwa wakati wake
Lingine umesema "Nimejaribu so many girls lakini hawajafanania. ...". Ukiwa desperate sana utajikuta kila siku una mahusiano mapya afu ukikaa naye after few days/months unagundua kuwa huyo sio mtu sahihi kwako na hii pia inachangiwa na wewe kuingia kwenye mahusiano with so much expectations. Na usiwe Unaingia kwenye mahusiano na negativities, utashindwa kuona positive side ya huyo mtu wako as wewe upo busy kuangalia flaws zake. Kila mtu ana mazuri na mapungufu yake, so angalia kama unaweza kuyahimili mapungufu ya mwenzi wako. Kwa muda huu wewe relax tu kwanza, kaa tu single kwa muda na wala usiwaze sana kuhusu mahusiano. Kila kitu kitakuwa poa tu, let things happen naturally, usiforce mahusiano