Ufoo Saro na Malumbano ya hoja

Ufoo Saro na Malumbano ya hoja

Kile Ni Kituo Cha Hbr, Sio Kijiwe Cha Kahawa Au Midahalo Ya Taasisi Nyingine!! Pale WANAANDAA VIPINDI Kwa Mujibu Wa Sheria, Kanuni Na Taratibu Za Uendeshaji Wake KUANZIA Za Kituo Hadi Za TCRA!! So HAIWEZEKANI Kuwaachia WATU Kusema Vitu Ambavyo HAVINA Ushaidi Na Havijathibitishwa Na Vyombo Vyenye MAMLAKA Hayo!! Ukisema Watu Wanawaandaa Vijana Kufanya Fujo, Kwa Kuwanunulia BANGI!! Alafu Kituo Kiwaache Tu!! Kesho Yake TCRA WAJE Kukitoza Faini, Kukionya Au KUZUIA Kipindi Hicho!! Ndio Itakuwa Uhuru Wa Kuchambua Hoja Huo!!! Hiyo Nendeni STARTV, Ktk. Kipindi Cha AJENDA, Ambacho Kinaandaa Kipindi MAALUMU Na MTU MAALUMU Pia, Huyo Huyo!! Akisafiri Kipindi Kinaenda LIKIZO!! Sasa Kule Ni Kituo Chao, TCRA Hawatii Mguu!!!
 
Binafsi simkubali Ufoo Saro kwa sababu anaongoza kipindi kama vile yupo mwenyewe, Juma Kapalatu yupo kama reserve moderator haileti picha nzuri.
Lakini kwa kipindi hiki ambapo mihemko ni mingi, wachangiaji wengi wanaropoka sana, lazima moderator awe na nguvu ya kuwarudisha kwenye mada pale anapoona kuwa mtu anatoka nje. Japo pia inapunguza flow ya kulumbana.

Combination ya Margret Cosmas vs Fatma Almas; Juma Kapalatu vs Maulid Kambaye ni bora zaidi...
 
Natumaini uongozi mzima wa ITV umeyasoma haya malalamiko.

Ufoo Saro ana mengi ya kujifunza kutoka kwa Bw.Rainfred Masoko jinsi ya kuendesha midahalo na mahojiano.

Kwa hali ilivo sasa sidhani kama watazamaji au washiriki wa malumbano ya hoja wanafaidika na chochote katika suala zima la kupanuana mawazo.

Bw.Rainfred Masoko ana upeo mkubwa katika mada zake, anaheshimu watu anao hojiana nao, anajua kuuliza maswali ya ziada ya kumfanya mtu afunguke zaidi na ni mzuri katika kutoa muhutasari wa yale yaliyozungumzwa.
 
Kile Ni Kituo Cha Hbr, Sio Kijiwe Cha Kahawa Au Midahalo Ya Taasisi Nyingine!! Pale WANAANDAA VIPINDI Kwa Mujibu Wa Sheria, Kanuni Na Taratibu Za Uendeshaji Wake KUANZIA Za Kituo Hadi Za TCRA!! So HAIWEZEKANI Kuwaachia WATU Kusema Vitu Ambavyo HAVINA Ushaidi Na Havijathibitishwa Na Vyombo Vyenye MAMLAKA Hayo!! Ukisema Watu Wanawaandaa Vijana Kufanya Fujo, Kwa Kuwanunulia BANGI!! Alafu Kituo Kiwaache Tu!! Kesho Yake TCRA WAJE Kukitoza Faini, Kukionya Au KUZUIA Kipindi Hicho!! Ndio Itakuwa Uhuru Wa Kuchambua Hoja Huo!!! Hiyo Nendeni STARTV, Ktk. Kipindi Cha AJENDA, Ambacho Kinaandaa Kipindi MAALUMU Na MTU MAALUMU Pia, Huyo Huyo!! Akisafiri Kipindi Kinaenda LIKIZO!! Sasa Kule Ni Kituo Chao, TCRA Hawatii Mguu!!!

GeNtaMyciNE
 
Ufoo saro anataka watu wawe wanaongea kilichoulizwa. Mimi nampenda sana. Kuna watu kama rais wa bao, huwa anakwenda nje na alichoulizwa kabisa. Badala ya kutoa hoja anaanza kujibu hoja za wenzake, hasa wenye mawazo tofauti na yeye.
Namuona yuko vizuri watu bongo lala ndo wanaona hafai.
 
Kama kipindi cha juzi alhamisi alinikera sana,alimkatisha mzee mmoja anaejiita rais wa bao,mpaka mdingi akasema uchangiaji wa mwaka huu utakuwa mgumu sana
 
Huyo Mmachame Ufoo Saro ana kadi namba 11 ya Chadema hawezi kuwa fare kuona chama cha ukoo wake kikidungwa kristapen
 
jamani naombeni no. ya kamanda Ester Bulaya au @yke mimi ni mtoto wa mkulima.com :wapigania haki .
 
Leo Katemeshwa sijamuona kabisa...anaendesha malumbano kibabe.
 
nimekuwa nikifuatilia kipindi cha malumbano ya hoja kwa muda mrefu sasa. Toka ufoo saro awe miongoni mwa waongozaji kipindi kimepwaya.

Mtangazaji huyu amekuwa akiingilia au kukatisha hoja za watu pasipo kuwa na sababu za msingi. Kuna wakati anaonekana ni mwenye jazba sana.

Ushauri wangu: Ufoo ajitahidi kudhibiti hisia au kuondoa uoga ili kipindi kiwe na mantiki nzuri zaidi na kivutie badala ya kupoteza watazamaji.

anaingilia sana wachangiaji na kulazimisha mambo
 
Leo malumbano yameenda shule.Nimefarijika.
Hongera kwa uongozi mzima wa ITV kwa kufanya mabadiliko.
 
Ufoo Ni muuaji. Sijui hata ITV management inasubiri nini kumutimua. Ukwetu-ukwetu umewatawala sana jamaa wa Kz kzn
 
Back
Top Bottom