Recent content by magoko

  1. M

    Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

    Unaweza, Cha kwanza tambua Hilo Eneo kama Hilo biashara zinamilikiwa na mifumo ya kiimani. Biashara inafanyiwa mahesabu kiimani na hapo unakuwa na utekelezaji kimwili. Mifumo ya nguvu za Giza ikitawala utaona watu wanaofanya huo ushirikina wanafuata masharti Yao yote kutoka kwenye huo...
  2. M

    Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

    Mungu anataka kwanza uone kama yeye anavyoona, yaani mindset yako iamini bila shaka kwa Imani dhabiti ( 100%) hata pale ambapo huna chochote Wala mtaji . Ukiamini lazima uwe tajiri mkubwa utakuwa tu , kwa maneno mengine barabarani hapahitaji dereva muoga muoga kuovertake ,ukiamua kuovertake...
  3. M

    Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 80 na Majeruhii 133

    Kutoa ni moyo, hata Elfu moja unaweza kutoa ,kama Kuna account au njia Rasmi ya kutoa misaada kwa wahanga.
  4. M

    Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

    Ni kweli kabisa ,Anza na kujiandaa kiroho , kisaikolojia , kiakili na kimwili. Kiroho; Muombe mungu sana akuonyeshe Nini Cha kufanya, Muombe akuongoze( kwenye kukuongoza sio lazima upate miujiza sijui ndoto au sijui Nini Bali unaweza usione yote hayo lakini dhamira yako ikaongozwa kutoa...
  5. M

    Ndugu Mwanaume

    Ni kweli kabisa, kuinvest kwenye uzinzi ni hatari sana sana huleta yafuatayo; 1. Dhabi , kujitenga na muumba wako hivyo baraka, bahati katika kutafuta hutoweka na badala yake kuandamwa na mikosi, nuksi na hasara nyingi hatakama umetoboa utajikuta unapata anguko kubwa. 2. Kupoteza fedha nyingi...
  6. M

    Kuna wageni ambao hawana ustaarabu mezani saa ya chakula

    Ukija huku kwetu kalambo ,tunakuchinjia mbuzi , kuku ni kifungua kinywa, maziwa utachangua mwenyewe unywe jagi la maziwa mgando au Lita mbili za maziwa fresh.( Usione aibu sisi huku kula Sana kazi iendelee) Wakati wa kurudi kwenu Huko dar, tunakufungashia maziwa Lita 40, mchele kilo utakazoweza...
  7. M

    Tutayarishe makaburi ya kutosha kwa waathirika wa H.I.V

    Tunazilipiaje ? Yaani Nataka kujua,marekani anapata nini? Tunawatuwangapi wanaotumia dawa hapa kwetu? Budget kwa mwaka nikiasi gani? Je sisi tunachangia kiasi gani kwenye hiyo budget? Nawamarekani wanatoa asilimia ngapi? .
  8. M

    Kuna ofisi za umma ambazo ikifika muda wa kula wafanyakazi wote wanafunga ofisi na kwenda kula!!!

    Kwahiyo umeamua kuandika hapa ili kuwakomoa sio? Wewe ofisi yako mkuu iko wapi ? Ulipokwenda ofisini kwao ,kwako Wateja wako unadhani uliwatendea haki we we kwenda idara ya ardhi siju kufuatilia hati ya eneo au sijui Nyumba unajua we we .mteja wako alinufaika kitugani .ROHO Mbaya mbaya mbya...
  9. M

    Serikali yazitaka NGO's zote nchini kuwasilisha kwa Msajili taarifa za vyanzo vya Mapato

    Kuna vitu viwili hapo 1.kutoa Huduma za kiafya kwa Makundi maalum 2.kuhamasisha kuwepo kwa Makundi maalum yaani kuwepo kwa ushoga . Naomba kujua Tanzania kunataasisi inayo hamasisha kuwepo kwa ushoga?(kama IPO haitufai) au kuna NGOs zinazotoa Huduma za kiafya ?
  10. M

    Kilio cha Madaktari wanaomaliza internship Awamu ya Tano

    Hiyo 980k ukijumlisha na makato ya bodi ya mikopo au bado?
  11. M

    Leo nimeamini kuwa kutembea na mtu mwenye UKIMWI si kupata UKIMWI

    Mimi nakushauri urudi hospitalini yoyote katika kitengo cha ushauri na upimaji , ukatoe maelezo kama ulivyotoa hapa jf ikiwezekana na zaidi kuhusiana na ukweli wake .usifadhaike wala kuwanamawazo mengi au kukata tamaa kwani utapata ushauri mzuri na utapata msaada mkubwa wa kisaikolojia na...
  12. M

    Serikali yataka wananchi watoe taarifa za hospitali zinazotoa matibabu ya wajawazito kwa fedha

    Hongera sana ,lngefaa sana haya matamko yakitolewa sabamba na uhimizaji wa watu kujitolea damu, kumbuka si dawa pekee inayoweza kuokoa maisha ya kinamama Bali damu nikitu cha mhimu sana hivyo nivema jamii pia ikakumbushwa kuchangia damu, tusijikite tu kusema bure kila kitu ,mzungumzie na vitu...
  13. M

    Msaada: Daktari wa mifugo natafuta kazi.

    Yawezekana anawazo kama hilo, lakini tatizo mtaji
  14. M

    Clouds 360 waishambulia CHADEMA kutopenda kukosolewa

    Yule mtangazaji maji ya kunde wa 360 ,huwa namuona anachambua habari za siasa kishabiki shabiki tu utadhani sio mtangazaji mwenye taaluma Ushauri wangu .kipindi cha 360 nikipindi kizuri ,watangazaji mkichambua habari za siasa kitaaluma kitakuwa na manufaa zaidi achaneni na ushabiki ,kuna...
  15. M

    Habari njema kwa wanawake wenye matiti yaliyochapa usingizi

    Acha hizo, bora ungeleta maada ya kibamia .
Back
Top Bottom