Ni kweli kabisa, kuinvest kwenye uzinzi ni hatari sana sana huleta yafuatayo; 1. Dhabi , kujitenga na muumba wako hivyo baraka, bahati katika kutafuta hutoweka na badala yake kuandamwa na mikosi, nuksi na hasara nyingi hatakama umetoboa utajikuta unapata anguko kubwa.
2. Kupoteza fedha nyingi...