Recent content by Magogwajr

  1. Magogwajr

    Gwajima apandishwa Mahakamani Kisutu; aachiwa kwa dhamana na kesi kupigwa kalenda!

    Mbwembwe za kibatala vp zimeishia wapi?? Si alisema wamekubaliana na polisi kuwa hatakamatwa!??
  2. Magogwajr

    Dk Kitila Mkumbo: Vijana wa BAVICHA wanahitaji kufundwa!

    Siasa bwana kila anachofanya mbowe ni sahihi na hakisemwi kabisa.
  3. Magogwajr

    Msaada kuingiza internet kwenye simu.

    vp kuhusu vodacom nayo unafanya hivyo hivyo?? msaada plz wadau
  4. Magogwajr

    CIA haimtambui Kikwete kama ni DR? Inatambua DRs watatu tuu katika Serikali ya JK!

    Hao ni doctor of medicine and vertenary doctor ndio maana wanawatambua!! Hivi unajua kuwa hata barack obama ni phd holder but ulishasikia wanamuita dr obama????
  5. Magogwajr

    Tundu Lissu ataja wabunge wanaotuhumiwa kwa rushwa, Zitto si mmojawapo

    kama una majina yako yaweke wazi kama tundu lissu alivyofanya sio kupiga majungu tu.
  6. Magogwajr

    Should CHADEMA Fire Zitto?

    hivi kumbe mtu akitangaza nia ya urahisi ndio anapigwa majungu hivi? yaani hata ushahidi haujawekwa wazi wakina mushi wanataka ipigwe kura ya kumfukuza mtu aaaaah acheni ujinga huo siamini kaka chama makini km chadema kitafanya maamuzi bilia ushahidi wa uhakika.....
  7. Magogwajr

    Planed city,kigamboni.

    kigamboni kubwa bwana hiyo plot no 126 block 14 ipo tuangoma, kibada, muongozo au wapi exactly?
  8. Magogwajr

    CHADEMA & CCM Jiangalieni!

    vp na maneno ya lusinde yenyewe si ya kuyachukulia kwa tahadhari?
  9. Magogwajr

    Member wa Fri masonry,haojiwa Sumbawanga TV

    sorry mkuu unaweza ukatupa updates kuhusu kesi ya uchaguzi wa sumbawanga mjini coz naona kama upo hapo sumbawanga mjini sorry kwa kuchanganya mada bt am curious to know if my former headmaster will win that case.....
  10. Magogwajr

    Simu inauzwa

    weka picha
  11. Magogwajr

    i phone 4s for sale.

    unauza sh ngapi mkuu???? u can pm me if u r serious
  12. Magogwajr

    Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

    kumbe ya mwakyembe ni muendelezo!!!!! duuuuuh nyerere kweli aliondoka airport akitembea vizuri bt baada ya week akawa hoi!!!! duuuh kuna kitu hapo
  13. Magogwajr

    PICHA: Mapokezi ya Prof Lipumba; Afande sele atumbuiza

    cdm--- sigu a.k.a mr two
  14. Magogwajr

    Maafa makubwa kutokea serikali ikijaribu kufanya haya kwenye mgomo wa madaktari

    sasa hao flying doctors wanajua kikwere,kimakonde,kizigua etc au pia ataajili na wakalimani?
  15. Magogwajr

    Najiaandaa kuwashtaki madakitari kwenye mahakama za kimatafa

    hv kuna ulazima wa kuua watu tena??
Back
Top Bottom