Magogwajr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 221
- 20
Wakuu,kuna mdada anaitwa Leah,toka Sumbawanga,ni mzaliwa Wa Iringa ana miaka 14 anahojiwa Jumaa Kisika wa RFA,Ukweli kuhusu Fri masonry na alikuwa memba wa haya madude.Bt aliokoka cku ya J5 ktk kanisa la EAGT.Anatoa ukweli walivyokuwa wakifanya.Na mada inaendelea wiki ijayo akiendelea kuhojiwa mda saa2 .30 usku,akidai kuwa hii ishu ilianzia Marekan .Dsm ni makao makuu na Swanga Fri masonry wapo kibao.Bahati mbaya yeye ni maskini na amesema wanakula nyama za watu. anaonyesha chata mbali mbali za mizimu,kama sahihi ya rusifa,fri masonry,nyingne zko sehemu nyeti.alama kama 606 mwilin na anadai yeye alikuwa wazir mku wa TZ.Fuatilia kipindi kjacho
sorry mkuu unaweza ukatupa updates kuhusu kesi ya uchaguzi wa sumbawanga mjini coz naona kama upo hapo sumbawanga mjini sorry kwa kuchanganya mada bt am curious to know if my former headmaster will win that case.....