Recent content by Magembe Mtoto

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dr Dau na Balozi Ombeni Sefue Wanasubiri ajira hadi leo

    Katika kile kinacho onekana tatizo la ajira nchini bado watajwa hao wanasubiri ajira Kama ambavyo mrema Ali ahidiwa ajira na akateuliwa nawaomba Dr dau na balozi ombeni sefue wasubiri ajira zao kama walivyo ahidiwa Watakumbukwa kwakua waliahidiwa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kamati kuu ya CHADEMA kukutana kwa dharura, Ni dalili ya UKUTA kukosa mvuto?

    Hata makonda alikutana na FFU kujidhatiti kuhusu Ukawa sasa nani katikisika? Tume ya haki za binadamu imetangaza suruhu likini wajumbe wemeingia mitini wa ccm,ag nk Sasa nani asietikisika?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Facts: Kwanini Rais Magufuli atashindwa vibaya

    Hali ishakuwa mbaya safari za magogoni to chato ...haaaaa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Walimu watakiwa kuhudhuria sherehe za Mwenge, kuchukuliwa hatua wakikiuka

    Walimu waumizwe tu kwenye chaguzi ndio wanaoungana na ccm kuhujumu matokeo ya ukawa
  5. M

    JamiiForums Tanzania RASMI: PCB, PCM na CBG ndio pekee wanaopata kipaumbele cha mkopo

    Rais kasoma yasansi na waziri sayansi Ulitegemea matokeo tofauti?huu ni ubaguzi wa wazi wazi Kikubwa walitakiwa wao waongeze ushindani ktk masomo kwaku tenga mazingira mazuri ya kusomea na kufundishia Lakini kubwa kabisa ni maslahi kwa wanao fundisha ya boreshwe
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nitamshangaa sana Nape kama hatachukua hatua za haraka kwenye hili

    Takwimu za maisha bora zinatoka huko?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nitamshangaa sana Nape kama hatachukua hatua za haraka kwenye hili

    Gazeti la kada wa ccm hilo
  8. M

    JamiiForums Tanzania JamboLeo: Watanzania wakosa imani na 'Rais'

    Baada ya kusoma gazeti hili nikaweka nyimbo ya msaga sumu ..lowassa....lowasaa.... Wakati nashangaa shangaa naona watu wanaongezeka dukani kwangu Wanasikiliza nyimbo kwa raha sana na kusema huyu mzee ndie mkombozi wetu Nikawaukiza kulikoni wakasema hali imekuwa mbaya sana mitaani Vibaka...
  9. M

    JamiiForums Tanzania JamboLeo: Watanzania wakosa imani na 'Rais'

    Amekusudia alioko front ya gazeti lakini ametumia ujanja kujiweka salama na waziri wa magazeti Maana yule akiendika kifaru cha jeshi ana nyea debe somalia
  10. M

    JamiiForums Tanzania Bunda: Madiwani wa CCM wagomea Madawati yaliyotolewa na Mbunge wa CHADEMA Mh. Bulaya

    Washamba hao Mbona ziko shuke zina majina ya maccm na wanayakubali Yussuf Makamba sec Bernard membe sec Mama salma kikwete sec Nk mbona hizi zimesajiliwa? Waache unazi wao ccm
  11. M

    JamiiForums Tanzania JamboLeo: Watanzania wakosa imani na 'Rais'

  12. M

    JamiiForums Tanzania KAFULILA AIBUKA KISIASA SASA KUELEKEA MAHAKAMA YA RUFAA.

    Go go Kafulila
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Kesi ya Ugaidi CHADEMA, Joyce Kiria apuuzwe. Ukweli ni Huu...

    Aheme asubiri mtanange wa ukuta vs ccm asitoe mwanya kwa ccm
  14. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa azidi kujikita kwenye siasa

    Safi sana mikakati ya chama dola kuunda
  15. M

    JamiiForums Tanzania Polisi kagueni shughuli vijana BAVICHA nyumba kwa nyumba

    Wakikagua huuko vyombo vya ulinzi habaki mtu tutuakuwa na wawili tu
Back
Top Bottom