mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,253
Tunampenda Lowassa
Kuwa mjinga juu ya jambo fulani si kosa ila pale unaporuhusu ujinga kutawala sehemu ya maisha yako ni kosa lisilosameheka
Lowasa ni level Ingine.....je yule aliyesema anakwenda msoga Yuko huko!Lakini si ni yeye mwenyewe aliyesema ataenda kuchunga akishindwa urais? Kwani huko bilicanas ndiyo kuna ng'ombe wa kuchunga?
Wewe unaijua kesho yako?Huyu mzee angeonyweshwa future yake nahisi angeacha kupoteza mda na pesa...ila kwakuwa haijui kesho wacha asubir tena 2020 atakapochinjwa na wananchi
Tunasubiri tarehe 1 aandamane.Edward lowassa akizungumza na viongozi na wafuasi wa chadema toka ngazi za chini kwenye ukumbi wa Billicanas asubuhi ya leo
View attachment 376921 View attachment 376920
Hata mkimpamba namba gani ndio amekwisha hivyo kisiasa! Hawezi kuibuka tena! Chezea CCM wewe!!Mhe Edward Lowasa Mungu amzidi kumlinda ni huyo tunu ya taifa.
Kosa lisilosameheka kama kuamini UKAWA sijui, Ah! UKUTA itachukua Nchi 2020!!Kuwa mjinga juu ya jambo fulani si kosa ila pale unaporuhusu ujinga kutawala sehemu ya maisha yako ni kosa lisilosameheka
Si ndio washasalenda, yule Dict alcohol makomeo dadaaa wa Uganda anaona aibu kwa kauli zake maana kisheria hakuna wa kuzuia mikutano ila ubabe tyusasa hapo si wanafanya mikutano mbona polic haiwaingilliii,, kutwa kulaumu serkali kwa mambo ya kitoto.
Ndo binadamu walivyo mkuu..Walidhani Lowasa ana mihemko kama ya kwao. Huyu ni mtu makini sana katika siasa za ndani na nnje ya nchiMkuu Mh Lowassa ana hekima,lakini cha kushangaza humu humu Jamii Forum tulizoea kuona baadhi ya wadau wakimuandama karibu kila siku mfululizo utafikiri ni askari wa kukodiwa.Ziliandikwa ngonjera zenye kila hila,nashangaa sasa wameoja machungu wanageuka nyuma kuwa jiwe.
inawezekana mkuu lakini nimemuangalia Lowasa kabla wakati yuko CCM alikuwa na furaha na uso wenye tabasabu kila wakati...toka ajiunge na CHADEMA amepoteza furaha anaonekana na huzuni muda wote
ok naona unakuja kilowasa.Ndo umeshamaliza kuwaza hapo..Basi tulia upigwe na upepo
Majuto mjukuu,tunaisoma namba bila ubaguzi.Ndo binadamu walivyo mkuu..Walidhani Lowasa ana mihemko kama ya kwao. Huyu ni mtu makini sana katika siasa za ndani na nnje ya nchi
Safi sana mikakati ya chama dola kuundaEdward lowassa akizungumza na viongozi na wafuasi wa chadema toka ngazi za chini kwenye ukumbi wa Billicanas asubuhi ya leo
View attachment 376921 View attachment 376920