Recent content by magdarena

  1. magdarena

    Huyu ni mpenzi au bomu la machozi?

    Endelea kulia tuu
  2. magdarena

    Mwili wa marehemu mangwair upo humu

    Njia yetu sote hiyo. Kinachouma zaidi nikutangulia tuu. R.I.P
  3. magdarena

    Amenisomesha, kaninunulia gari lakini sina mapenzi naye

    Lazima utakua namatatizo yaakili wedada sio bure. Sasa hivi ndio unamuona hafai baada kakukufikisha hapo ulipo? Muogope mungu. Huyo nimwanaume mwema kwako, hana nia mbaya nawewe. Kajitolea kwahali namali. Yote hayo umeona hayo ndio malipo yake? Kweli kunguru hafugiki
  4. magdarena

    Nimfanye nini huyu kidudu mtu?

    Pole sana. Ila kaka usimdharau mtu usiemjua. Napia hata kama kakutukana basi ulitakiwa kumpuuza tuu kwakua umeshasema anauelewa mdogo. Unapoyakuza mara kwamwanasheria mara huku mwisho wewe ndio utaonekana huna akili. Inamaana kila anaekutukana kwako inakua kesi?? Bora mpuuze uendelee namambo yako.
  5. magdarena

    Achana na dawa za Mchina yana madhara, mambo ni kujijaladia

    Kwani wanaume hua mnajisikiaje mkiona mwanamke mwenye makalio makubwa? Naukiwa nae unapata raha gani? Maana nyie ndio mnafanya wanawake waangaike kuyapata kwagharama yoyote.
  6. magdarena

    Baada ya mama kufariki mtoto alia na kusema

    Siku zote ugomvi wa baba na mama waathirika wakuu niwatoto. Wazazi tusiwe tunaangalia upande wetu tuu. Linapotokea tatizo tujaribu kuwawekea mazingira mazuri watoto kwafaida ya baadae. Mungu atawasaidia hao watoto.
  7. magdarena

    Nampenda kuliko mke wangu.

    Tulia kwa mkeo. Kama mlikua mnapendana kwanini usingemtafuta kabla hujaoa ukamuoa? Hayo mapenzi unayompenda rudisha kwamkeo.
  8. magdarena

    Simuelew anapenda mwili au mimi!!!

    Mungu kaumba wanawake wakila aina, sasa mtu akiamua kua nawewe basi anatakiwa aridhike navile ulivyo. Huyu mpenzi wako hana mapenzi yadhati. Maana wanasema mapenzi ni upofu. Angekua anakupenda hata kama upoje angeridhika nawewe
  9. magdarena

    Uvinza Siendi Tena

    Daaahh umenichekesha sana mkuu
  10. magdarena

    Mlokole amnywesha damu ya hedhi mwanaye

    Mtoa maelezo hakujipanga. Anaishi kwa baba namama wakambo, baba namama wakambo ndio walomfanyia hayo matatizo, hapohapo akawa anajifungia ndani wajirani wasimuone anvyoteseka, baba huyohuyo alomroga akaampeleka hospital kujua tatizo nini. Mara akaja mama yake mzazi. Mara yupo kwamume wake...
  11. magdarena

    Mume amuunguza sehemu za siri mke wake!

    Inasikitisha sana. Huyu mwanaume katili kweli. Ameona amtie mwenzie kilema kwawivu wakijinga. Je angewakuta kabisa singewaua jamani!!!
  12. magdarena

    Leo nimepatikana?

    Inabidi umwambie ukweli naumuombe msamaha wa dhati. Naakikusamehe uache kabisa uzinifu. Tulia namkeo.
Back
Top Bottom