Duh...... Hawa bila shaka ni walokole wa dini ya SHETANI
Kali sikwagile inyali siliku, nsobhile findu fiki une?why don't you learn to respect our differences!!
Mkuu labda wewe ndio mgeni kwa MziziMkavu, mwenzako hapo yupo kwenye Jihad kutimiza sunna za mtume, hizo hadithi za kusadikika zingemuhusu Sheikh wala asingezileta hapa. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye anategemea source ya habari kwake iwe ni Global Publishers, ukimuona mtu wa aina hiyo basi ujuwe upstairs empty.Unahitaji kuwa mjinga hasa kuamini story za namna hii. Kuna sehemu hapo inasem 'dakatri akaniambia utakaa katika hali hii kwa mwezi mzima' hivi dakatari anawezaje kujua damu itaacha kutoka kwa mwezi mzima? Kwanza na wewe MziziMkavu, ilikuwaje mpaka mwanaume ukaanza kusoma Risasi? Habari kama hizi huwezi kuzikuta kwenye magazeti yenye akili zake.
Kali sikwagile inyali siliku, nsobhile findu fiki une?
Bhebhe nang'ho!!!tokomanheja nyabitelwa ha shule!!!!
Mkuu labda wewe ndio mgeni kwa MziziMkavu, mwenzako hapo yupo kwenye Jihad kutimiza sunna za mtume, hizo hadithi za kusadikika zingemuhusu Sheikh wala asingezileta hapa. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye anategemea source ya habari kwake iwe ni Global Publishers, ukimuona mtu wa aina hiyo basi ujuwe upstairs empty.
Duniani kuna mambo! story haijulikani mwanzo wala mwisho. Ila MziziMkavu, una undugu na Shigongo, au anakurushiaga story?
Nanren, I salute you!Aliyeleta mada is a known 666.
Kichwani kwake anachokifikiria ni kuudhalilisha ukristo tu. Ambacho hajui ni kuwa ukristo unasimama wenyewe kwa nguvu ya Mungu na kwa mazuri yaliyomo ndani yake. Haudumishwi kwa kuulinda na vifaru na makombora. Juhudi nyingi sana zinafanyika na 666 na wafuasi wao kuukashifu na kuudhalilisha lakini bado ukristo unaendelea at a steady pace.
Mleta mada kaileta hiyo katika juhudi zake za kujifurahisha....
Mkuu labda wewe ndio mgeni kwa MziziMkavu, mwenzako hapo yupo kwenye Jihad kutimiza sunna za mtume, hizo hadithi za kusadikika zingemuhusu Sheikh wala asingezileta hapa. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye anategemea source ya habari kwake iwe ni Global Publishers, ukimuona mtu wa aina hiyo basi ujuwe upstairs empty.
Huyu Binti naona sasa anautumia ulokole wake huo kujipatia umaarufu maana hii story niliiskia mwaka jana kama August fulani hivi kwenye kipindi cha Weekend Special cha Radio WAPO mara baada ya miezi kadhaa nikamuona kwenye TV akiwa kwenye maombi kwenye kituo fulani hivi cha Nabii nani vile sikumbuki vizuri, leo kaibukia huku.....hivi kila ushuhuda ungekuwa unatungiwa kitabu tungekuwa na vitabu vingapi???
Hizi story huwa ni za kutunga ajili ya kutumika katika ushuhuda.ni marketing strategy ya wachungaji kuvuta wateja.
Kama alinyweshwa damu ya hedhi akiwa mbinti mwishoni anataja mmewe.lini kaolewa hapo?