Nilifukuzwa kazi serikalini mwaka 2021 kutokana na utoro kazini, toka muda huo sijafuatilia stahiki zangu popote pale.kwa sasa maisha yamenipiga barabara hadi nimetia akili.
Naomba kujuzwa pa kuanzia na zaidi nataka kujua madeni ninayodaiwa na taasisi za kifedha itakuwaje.
Natanguliza shukrani
Matangazo yenu yanasema mnatoa mkopo ndani ya SAA 48. Fomu yangu imepitishwa na utumishi wiki ya tatu sasa sijapata pesa. Customer care mnatumia simu za mezani ambazo wengi hatuwezi kuwapigia na hata mkipigiwa hampokei. Mnafanya vibaya kwani wengine tunakopa ili kutatua matatizo ya ghafla kama...
miche yangu inapukutisha matunda Mara tu yanapotoka.napiga dawa ya ukungu na ya kuuawa wadudu kula baada ya wiki tatizo haliishi.nifanye nini?Niko mbeya
Kuna mwalimu mwenzangu kaniita nikamdhamini achukue mkopo wa pesa kwenye kampuni inayoitwa MGOSI SHOPPING CENTRE hapa wa riba ni 40% ya kiasi unachochukua.
Kilichonistua ni utaratibu wa kuacha ATM card na namba ya siri kwao, mshahara ukiingia wanatoa pesa yote, wanakata wanayodai na kinachobaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.