mAgaziJuTO.
Senior Member
- Feb 22, 2014
- 119
- 37
Nilifukuzwa kazi serikalini mwaka 2021 kutokana na utoro kazini, toka muda huo sijafuatilia stahiki zangu popote pale.kwa sasa maisha yamenipiga barabara hadi nimetia akili.
Naomba kujuzwa pa kuanzia na zaidi nataka kujua madeni ninayodaiwa na taasisi za kifedha itakuwaje.
Natanguliza shukrani
Naomba kujuzwa pa kuanzia na zaidi nataka kujua madeni ninayodaiwa na taasisi za kifedha itakuwaje.
Natanguliza shukrani