Hivi mbona watu wanawehuka sana, lowassa mwenyewe hajaongea ila wengine naona watapelekwa icu, nimeamini lowassa anatakiwa kuwa rais kwa sasa. Maana yanazungumzwa mengi sana..
Na sisi walimu tunalia njaa sana, jitaidini kutumia akili tulizopewa kuliko kuwa walalamikaji. Hata siku moja maisha yako hayatabadilishwa na serekali hata aje rais wa namna gani, bidii zako na kuwa creative basi, wengine tunadai madeni ya tangu 2011, ila nimegundua njia sahihi ni kutumia...
Kweli umepewa ushauri mwingi, ila njia pekee ya kuondokana na ilo tatizo ni maombi, omba ulinzi wa mungu, only Jina la Yesu ndo linaloogopewa na nguvu za giza. Ukitumia mbinu za kiganga ndo utaongeza mashambulizi zaidi
Mbona hamji na hoja nyingine mpya, harakati za wagombea wengine, imekuwa lowassa tu, wakati wako kama 38. Nimeamini lowasa ndo anatakiwa kuwa rais kwa mikakati yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.