Hatari, waambie wawe wanaomba silaha al-shabaab, sio kuja kupora za askari wetu, Serikali haina hela ya kununua silaha bwana.
Tunavyoelekea uchaguzi tutasikia mengi.....alafu mie nakereka...jambazi utamwitaje gaidi?...tuwaulize jirani zetu kenya naona unahamu na hao jamaa....haya yangu masikiooo
Nadhani kuna baadhi ya watanzajia watakuwa wanawashwa.