Bigboot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 310
- 77
Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
Million 1 toa 200 itabaki vilevile?
Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
Hata pale makumbusho wanatabia hiyo sana kwa kweli wajirekebishe
naandika haya kwa kuwa mimi ni mhanga wa hili suala,hawa wadada huwa wanakukata 200 au 300 hawasemi ukihesab salio lako unakuta limepungua ukiwauliza wanakuambia hawana change,nimefanyiwa zaidi ya mara mbili mara ya tatu nikatoa mia tatu ili nipewe 500 mdada akaniambia nisubiri,mpaka mteja mwingine aje ndipo afungue vidude vyao vile , nikae kula zangu nilivyomaliza nikaenda kukumbusha salio langu kumbe mdada kaondoka ,wale walioko zamu wakamjua mpokea pesa alietoka punde msela Mmoja akamfuata aliko akiwa na receipt yangu akarudi na 500 yangu(huku ni kule kwenye menu) wale wadada wajanjawajanja sana wengi wao.TUWE MAKINI
Mpare ugari kwa harufu
Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
Ndio maana nikienda uchumi nabeba vi-coin
Sikubali kiacha 50,100 wala 200
Kuna bar moja kila nikienda hapo 200 hawana inabidi niwaachie
siku moja nimeapa pesa imepungua 50 ...wakakataa
toka siku hiyo hata ipungue 50 naisubiri hadi wanipe
Huu wizi ni maarufu sana Dar sasa....kila mtu anajifanya 200 hana bila aibu
Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
Kapande daladala alafu mwambie konda huna hiyo 200 usikilizie moto wake! !Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
Mpare ugari kwa harufu
kazi ipo!!!Akichapa average ya 200 kwa kila mteja aki clear wateja 50 tu kwa siku ana 200 x 50 = 10,000
Naandika haya kwa kuwa mimi ni mhanga wa hili suala.Hawa wadada huwa wanakukata 200 au 300 hawasemi ukihesabu salio lako unakuta limepungua ukiwauliza wanakuambia hawana change,nimefanyiwa zaidi ya mara mbili mara ya tatu nikatoa mia tatu ili nipewe 500 mdada akaniambia nisubiri,mpaka mteja mwingine aje ndipo afungue vidude vyao vile , nikae kula zangu nilivyomaliza nikaenda kukumbusha salio langu kumbe mdada kaondoka ,wale walioko zamu wakamjua mpokea pesa alietoka punde msela Mmoja akamfuata aliko akiwa na receipt yangu akarudi na 500 yangu(huku ni kule kwenye menu) wale wadada wajanjawajanja sana wengi wao.
TUWE MAKINI