Mmmmmh, Mungu amsaidie huyo mtoto maana magonjwa siku hizi yanazuka tu, utafiti kuja kupatikana tayari ugonjwa huo unakuwa umeshaharibu wengi, Tumuombe Mungu atusaidie na Dunia hii ya Matukio
Ni kweli kabisa kuna watu kazi yao sio kuchangia hoja upande chanya bali wao huchangia upande hasi, mfano unaweza kutoa post fulani inayohitaji ushauri au kueleweshwa wao wanaanza kukutusi na kukudharau kama vile hawafahamu nini maana ya mitandao ya kijamii, ubarikiwe mtoa mada na ushauri kwa...
Watu wengine Bwana, Mtu anapokuomba ushauri, toa ushauri wako wewe na sio kuanza kujadili madhaifu au mapungufu aliyonayo, kama huna ushauri si lazima uandike, acha WENYE HEKIMA watatoa ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.