Kwa mtazamo wangu vyama vya siasa navilinganisha na timu za mpira pale usajili unapozidi,kuna kuwa na lundo lacwachezaji wanaokaa benchi,kumbuka unapohamia timu fulani unakuta kunawakingwe ambao pia hawapati namba,sasa kwenda sasa kusajiliwa timu hiyo kutapelekea chuki,uchawi na usaliti,kwani...