Chad kuingilia kijeshi kadhia ya biashara ya utumwa Libya

Col FEN

JF-Expert Member
Jun 16, 2017
327
460
Rais Idris Derby wa Chad ameamua kungilia kati biashara ya utumwa dhidi ya Waafrika inayoendelea nchini Libya, na kulipa taifa hilo masaa 24 ili kuwaachia Waafrika wanaoshikiliwa kama watumwa nchini humo kabla hajaingia kulivamia taifa hilo kijeshi.

Mpaka sasa Rais huyo ameshaamuru vikosi vya askari wake 10,000 kusogea mpakani mwa Libya.



e74aab8ff692fea4bbde927abc66e4ef.jpg


69beb585e9fa8bd5fd52a3820fe92e70.jpg


5ffe167d55e785e18ed7fc79b5d06252.jpg
 
Rais Idris Derby wa Chad ameamua kungilia kati biashara ya utumwa dhidi ya Waafrika inayoendelea nchini Libya, na kulipa taifa hilo masaa 24 ili kuwaachia Waafrika wanaoshikiliwa kama watumwa nchini humo kabla hajaingia kulivamia taifa hilo kijeshi.

Mpaka sasa Rais huyo ameshaamuru vikosi vya askari wake 10,000 kusogea mpakani mwa Libya.



e74aab8ff692fea4bbde927abc66e4ef.jpg


69beb585e9fa8bd5fd52a3820fe92e70.jpg


5ffe167d55e785e18ed7fc79b5d06252.jpg
Bado biashara ya utumwa yaendelea hadi leo? Hao jamaa hawafai kabisa
 
Viongozi wengi wa Africa ni wabinafsi,Na wanafiki ,hii dhambi ndiyo inalifanya bara hili kuzidi kuwa nyuma kimaendeleo
 
Rais Idris Derby wa Chad ameamua kungilia kati biashara ya utumwa dhidi ya Waafrika inayoendelea nchini Libya, na kulipa taifa hilo masaa 24 ili kuwaachia Waafrika wanaoshikiliwa kama watumwa nchini humo kabla hajaingia kulivamia taifa hilo kijeshi.

Mpaka sasa Rais huyo ameshaamuru vikosi vya askari wake 10,000 kusogea mpakani mwa Libya.



e74aab8ff692fea4bbde927abc66e4ef.jpg


69beb585e9fa8bd5fd52a3820fe92e70.jpg


5ffe167d55e785e18ed7fc79b5d06252.jpg
Now this is the presdent who has courage,, God bles him fulfil his wishez
 
Back
Top Bottom