Recent content by MAFUNGUO KUFULI

  1. MAFUNGUO KUFULI

    Ipo ikoje? Mamlaka husika kuachia uozo namna hii viwanja vya ndege?

    Hii ni baada ya mh.rais kufanya ziara ya kushtukiza uwanja wa nyerere internationala airi port na kukuta madudu mengine. Machine za scan hazifanyikazi, Kwa siku nyingi,tangu mkurugenzi,na waliochini yake,hawajui muda ambapo machine zime cease. Anyway! Hivi wizara na mamlaka husika zilikuwa...
  2. MAFUNGUO KUFULI

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe atinga Nigeria kwa Nabii TB Joshua

    Maandiko Yalishasema Nabii Hapati Heshima Kwa Watu Wa Nyumbani Mwake. Hiyo Ni Mosi; Lakini Pili;Watumishi Wa Mungu Wamewekwa Na Mungu Kwa Ofisi/karama Mbalimbali Na Huduma Mbalimbali,Na Kamwe Hazifanani, Askofu Gwajim josephat Ni Mchungaji, Temotope Bolugan Joshia Ni Nabii, Tofauti Ni...
  3. MAFUNGUO KUFULI

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe atinga Nigeria kwa Nabii TB Joshua

    Maandiko Yalishasema Nabii Hapati Heshima Kwa Watu Wa Nyumbani Mwake. Hiyo Ni Mosi; Lakini Pili;Watumishi Wa Mungu Wamewekwa Na Mungu Kwa Ofisi/karama Mbalimbali Na Huduma Mbalimbali,Na Kamwe Hazifanani, Askofu Gwajim josephat Ni Mchungaji, Temotope Bolugan Joshia Ni Nabii, Tofauti Ni...
  4. MAFUNGUO KUFULI

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe atinga Nigeria kwa Nabii TB Joshua

    Hakun Shida Mtu Kupata Muda Maalumu Na Mahali Pa Utulivu Kuutafuta Uso Na Msaada Wa Mungu! Labda Nikuulize Kuna Shida Gani Kutoa Taarifa Kwamba Mbowe Freeman Yupo Kwa Tb Joshua? Mihemuko Ya Maswali Si Ya Kimantiki, Ni vema Kufikiri Twice Kabla Ya Kutoa Commentts/Mrejesho.
  5. MAFUNGUO KUFULI

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe atinga Nigeria kwa Nabii TB Joshua

    Inatia Moyo Kuona Wanasiasa Wanamgeukia Mungu,Kwa Kufanya Hivyo Hata Taifa Litinuliwa, Hatutoi taarifa hizi kwa chuki,Sisi Ni Wana Mageuzi.
  6. MAFUNGUO KUFULI

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe atinga Nigeria kwa Nabii TB Joshua

    Bwana Mbowe Ameonekana Leo Kanisani SCOAN kwa Njia Ya Emmanuel Tv Akiwa Akimsifu Na Kumwimbia Mungu Wa Mbinguni. Chanzo Emmanuel Tv.
  7. MAFUNGUO KUFULI

    Haki ya Msingi ya Kusikilizwa kwa Anne Kilango Malecela!

    Hukumbuki kwamba kabla Ya Kiapo Wali-sainishwa fomu Maalum,Sasa Ajieleze kwa nani,Kama Aliamua kujieleza kwa Vyombo vya habari,Basi aende uko huko akajieleze. Nnachojua hakupenda kuwa Mkuu wa Mkoa,Alita,mani Uwaziri,Hivyo Kukacha Nafasi kama hiyo akaamua kufanya madudu! Kwa Sail Ya Rais...
  8. MAFUNGUO KUFULI

    Pongezi za dhati kwa Rais Magufuli

    Nampa mwenyezi Mungu Sifa Na Utukufu. Ni kipindi kifupi sana Cha Tangu aingie madarakani oktoba 2015,lakini aaah kwa kweli Kazi Aliyoifanya Ni Njema na Ya Kimapinduzi."HAPA KAZI TU." Nimeona binafi kwa Vitendo Kwamba Kweli huyu ndiye rais Laiyepangwa kutufaa. Ingawa mie binanfsi Sikuamini...
  9. MAFUNGUO KUFULI

    Ni nzuri Lakini...

    Kuzuia Uagizaji Sugar Kutoka Nje Ya Nchi Ni Jambo Inaloonekana Jema!Lakini.....Tungojee Bei z Bidahaa Hiyo Kupaa Kwa Kasi Isiyo Kawaida. Main Reason/Sababu Kuu Ni Kwamba,Bado Serekali Haijajiandaa Vya Kutosha Kuzalisha Bidhaa hiyo ya kutosheleza Mahitaji Ya Nchi Nzima,Let's wait for.
  10. MAFUNGUO KUFULI

    Kuinyonga TBC Tv na Radio kutorusha live vikao vya bunge nini mkakati fichama?

    Waziri anayehusuka na mambo ya Habari,ambaye pia Ni Katibu mwenezi CC Taifa,Siku za Majuzi Kautangazia Umma Wa Tanzania,Kwamba TBC Haitorusha Matangazo Ya Vikao Vya Bunge,lengo Ni Kubana Matumizi; Hivi Kaka Nape,Na Serekali Yenu,Mmeona Kuunyonga Kijanja kijanja Uhuru Wa Kupata Habari,Ndio Kuiua...
  11. MAFUNGUO KUFULI

    Nini tiba ya watoto wadogo na wachanga wapatwao na choo kigumu kupitiliza?

    NIMEONA WAZAZI WENGI HASA JANUARY HII 2016 WAKIHAHA HUKU NA KULE,KWA TATIZO LA WATOTO WACHANGA NA WADOGO KUPATA SHIDA YA KUTOA CHOO/HAJA KUBWA KWA SHIDA SANA TENA HUTOKA KAMA YA MBUZI,HIVI DAWA KWA HILI TATIZO WAJAMENI NINI!?
  12. MAFUNGUO KUFULI

    Biashara za udalali ni jipu la kutumbuliwa

    Serikali Haina Budi Kubana Biashara zote za Udalali; =Udalali Wa Nyumba Za Kupanga, =Udalali Wa Mazao Ya Mashamba, =Udalali Wa Madini; Nk. Hapa Mamilioni Ya Kodi Yanapotea Kwa Uholela Wa Madalali Hawa Ucharwa.
  13. MAFUNGUO KUFULI

    Karibu Arusha Rais wa JMT Magufuli, Dk. Magufuli

    KARIBU ARUSHA MH.MUKULU WA ISANGA/NCHI; TULIALIKWA NA MH.MUKULU WA MKOA TUJITOKEZE KWA WINGI KUKUPOKEA,HILO LINGEKUWA NI SAWA, LINGEKUWA NI SAWA KAMA UNGEKUWA UNAKUJA KUWASHUKURU WAISANGA/WAKAZI WA ARUSHA, LAKINI,KUMBE UMEKUJA KWA SHUGHULI ZA KIJESHI TENA KAMBINI JESHINI MONDULI T.M.A/TANZANIA...
  14. MAFUNGUO KUFULI

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    (1)Utshughulika Na Kuondoa Kinga Ya Kikatiba Na Kisheria Kwa Marais Wastaafu Ambao Wamelifikisha Taifa Lilipofika Kwa Uzemba Na Ufisadi; (2)Mali Zote Zilizochumwa Kiharamu Na Mafisadi Na Kuzificha Nje Na Ndani Ya Nchi Zitatataifishwa/Be Nationalized Kwa Manufaa Mapana Ya Nchi Yetu. UKITAKA...
  15. MAFUNGUO KUFULI

    Rais Magufuli anahitaji maombi yako

    "Hapa Kazi Tu" Asiyefanya Kazi Afe Tu; Wanasema Asile,Asuyekula Ni Mfu. Aisyefaya Kazi Afe Tu!Kwani Nini? Mh.Rais Kwa Mwanzo Huu Mzuri Uliotuonyesha,Hata Sisi Ambao Tulikuwa Upande Mwengine;Mhh,Umetukonga nyoyo,"Hapa Kazi Tu" Tunasmea Mwenyezi Mungu Amekuongezea Majeshi Ya Malaika Walizni...
Back
Top Bottom