Recent content by Mafree

  1. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wale tunaotongoza miezi kwa miaka na umasikini wetu.hahaha Tuendelee kua wasomaji tu
  2. M

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Mpira wa yanga ni mgumu sana kuuchambua. Maana kila sehemu katika kikosi ni utopolo. On target ni moja.[emoji23][emoji23] duh. Poleeni watani.
  3. M

    Askofu Gwajima: Wapo waliochanjwa chanjo feki ili kuwashawishi watu wachanjwe. Sijachanjwa na haitatokea

    Kweli kabisa, hadi waandishi walikosa msawali ya kuuliza.Maana kwa kuwasoma tu, tayari walikua na na majibu yao ya kisiasa [emoji28] Na Dr akawapa za Gwajiboy.
  4. M

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Bado nawaza kama mudi anadai kaweka 49%, akajipinda tena akampa kimbebezi babra 5% ya maji, alafu ka wifi ka babra kakaweka 10%. Ninyi wana chama na wapenzi wa thimba, Nguvu ya kumwambi mudi out, mtaitoa wapi? pale kanjibai, akianza kwenda mwendo wa glazer? [emoji16]
  5. M

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Huyu mudi kama kawapiga thimba hivi,ila ngoja nione.#Chanjoimenipatumaini [emoji16]
  6. M

    Msaada, namna ya kurekebisha jina la awali lifanane na la kwenye NIDA

    FUATA UTARATIBU HUU. Ila ni Vema Uanze kwa Mwanasheria. Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  7. M

    Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

    Kama, uliamka asubuhi ukaona, dhakari inatoa maji maji, kama kamasi [emoji16] bila kupepesa hilo ni GONO. kama unakaa unaendelea kuwashwa washwa kwenyekichwa hapo, na maji yanaendelea kutoka kiaina. Aiseee hilo ni GONO. KUWASHWA WASHWA BILA MPANGILIO WAKATI WA KUKOJOA. NA UNAKOJOJOA KOJOA KILA...
  8. M

    Huenda Tanzania ndiyo nchi yenye aina nyingi ya watu katika Afrika

    Jamii ya wasambaa, kabila la WAMBUGU ndio watu kutoka ethiopia huko. Ni weupe na wazuri mnoo. Nywele zao ni maboya maboya kama warabu. (hiyo jamii ndio aliowalenga mleta mada).
  9. M

    Nina mtaji wa Tsh. 50,000/= naomba wazo la biashara kwa Dar es Salaam

    Tupe mazingira ya biashara hii, na eneo wapi tunapata...?
  10. M

    Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

    Kwa aliewahi Fanya biashara ya maziwa fresh , mtindi. Naomba mwanga wa hii biashara, nataka nifungue maeneo ya GoBa centre (Dar) kama ni watu wapo. . shida sijafahamu Kama huko makwao wanafuga mang'ombe ikadhiri wazo langu Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  11. M

    Changamoto ya chakula maeneo ya kazi

    Ndugu zangu Wana jamii, Leo naomba maoni yenu juu ya changamoto mnazo pitia katika huduma ya Chakula hasa mnpo kua katika maeneo yenu ya kazi. Ni wapi, unatamani ungepata huduma ya chakula kitamu na chenye ladha nzuri ,nipate kukuhudumia? Je, kuhusu bei ya chakula ungependekeza iwe katika bei...
  12. M

    Maana halisi ya "Luxury Bus" ni nini?

    Hiizi ndio gari nilizowahi shuhudia kuhudumu katika level za luxury Tanzania. Kuanzia 1.wahudumu Na huduma Yao. 2.Sheria za kampuni. 3.Usalama wa abiria na Mali zao. Sijui zilipoteaje poteaje aiseee Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  13. M

    Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

    Mkuu huwezi vipi? [emoji16], kama inakushinda ,Nipe location nifanye kazi. Ninashida nayo Sana hiyoo....! ATA nyanya nitakata shida ni pesa bwana
  14. M

    Nataka kuanzisha kijiwe cha kuuza magari used, kuna eneo mbele ya barabara ya lami

    Mkuu , vipi Huko maeneo ya muhimbili, Kunazo nafasi Nijisogeze kuweka cafeteria hapo ....?
  15. M

    Milioni 5 inanichanganya akili. Je, inawezekana kuwekeza?

    Asantee Sana mkuu Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom