Recent content by mafia the boss

  1. M

    Upo mfumo wa kuonyesha watahiniwa majibu, Prof. Ndalichako unalijua hili?

    Ulipomuhoji mwanao alikwambia wanapataje majibu?? Au ulimwacha ukaenda kuhoji watajiniwa wengine na walimu wao?? Habari yako haina mashiko coz ur child should have been a true example
  2. M

    Tunauza sola za kisasa

    Bei ni 2.1 million and you are done with hot water problem
  3. M

    Tunauza sola za kisasa

    In additional to that hizi solar water heater sio za kufua umeme wa kutumia, ila ni special kwa kupata maji ya moto kwenye nyumba za biashara na some domestic houses zenye mahitaji ya kiasi kikubwa cha maji ya moto! It contains 150ltr tank na 50ltr cold tank on the same pannel! Unaiweka popote...
  4. M

    Ushauri: IGP Mangu badilisha sare za polisi ziwe za kimbinu zaidi

    Bwahahaha! Kinumi acha buaanaa! Vikuku tena???!
  5. M

    SWALI: Hivi ni kweli Rais Mugabe ndiyo anayetoa hii misemo inayosambaa WhatsApp kila siku?

    ROBERT MUGABE Just in Any man who successfully convinces a monkey that honey is sweeter than banana, is capable of selling condoms to a Roman...
  6. M

    Naomba msaada kwenye hili tangazo la TiGo....!!!

    Ni hivi....! Mke wa joti aligundua kuna mtu kaseviwa namba1,ili kuridhika kama ni mchepuko wa mumewe aliamua kuichukua sim ya mumewe kwa siri na kudelete namba hiyo na kuediti namba yake(probably mpya) na kuisev namba1 kisha akampigia nayo kuona atakavopokea atakavoongea na akafanikiwa kumnasa!
  7. M

    Uagadou: Chuo kikuu pekee cha ushirikina Africa

    Naomba kujua eti asili ya jinamizi (night mare) ni nini? Is it connected na ushirikiina or??
  8. M

    Kwanini Dar kuna vibanda vya chips kila mtaa?

    Linda kabisa na hiyo 0713.. Yako laasivo utakuwa na meengi zaidi ya kusimulia ukirud Mbeya
  9. M

    Nataka Mark X ya kununua

    Natafuta Mark- X ya kununua iwe namba yoyote hata A bali iwe ktk hali nzuri! My offer is 8mil 0625493830
  10. M

    Jinsi ya kuepuka mizinga ya wadada

    Na je akikutext hiv.."bby nikuombe kitu utanisaidia?" Utamjibu vip?
  11. M

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Chief Rutaraaka Ruende Kanwakaita--- karagwe kagera
  12. M

    Makapuku Forum

    Hi
Back
Top Bottom