Ulipomuhoji mwanao alikwambia wanapataje majibu?? Au ulimwacha ukaenda kuhoji watajiniwa wengine na walimu wao?? Habari yako haina mashiko coz ur child should have been a true example
In additional to that hizi solar water heater sio za kufua umeme wa kutumia, ila ni special kwa kupata maji ya moto kwenye nyumba za biashara na some domestic houses zenye mahitaji ya kiasi kikubwa cha maji ya moto! It contains 150ltr tank na 50ltr cold tank on the same pannel! Unaiweka popote...
Ni hivi....! Mke wa joti aligundua kuna mtu kaseviwa namba1,ili kuridhika kama ni mchepuko wa mumewe aliamua kuichukua sim ya mumewe kwa siri na kudelete namba hiyo na kuediti namba yake(probably mpya) na kuisev namba1 kisha akampigia nayo kuona atakavopokea atakavoongea na akafanikiwa kumnasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.