Hapa bado kuna ishu ya risk kuoza matikiti ,kupasuka ,madalali kukushusha chini,tena maeneo ya Mbogwe changamoto kubwa ni fisi kushambulia matikit kwa hiyo utajiri ni shida tufanye tafit na sio kushawishi watu na kuwapa matazamio chanya na tuwe tayari tumeingia kwenye field husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.