Recent content by mafia mwana

  1. M

    Kilimo Biashara na kampuni ya Namaingo Business Agency

    Kweli na je msaada huo upo upande wa nini,maana tunalima mpunga, nyanya vitunguu na tikiti katika hali finyu
  2. M

    Upweke unanimaliza, naombeni msaada

    Pole sana mkuu kazi si sehemu pekee ya kukufanya wewe uchelewe kuoa ni maamuz tu
  3. M

    Tajirika na Tikiti ungali bado kijana

    Hapa bado kuna ishu ya risk kuoza matikiti ,kupasuka ,madalali kukushusha chini,tena maeneo ya Mbogwe changamoto kubwa ni fisi kushambulia matikit kwa hiyo utajiri ni shida tufanye tafit na sio kushawishi watu na kuwapa matazamio chanya na tuwe tayari tumeingia kwenye field husika
  4. M

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Naomba nisaiidie mchanganuo nataka kulima kuanzia mwezi wa nne
  5. M

    USHUHUDA: Kuku wa kienyeji (Pure) - Biashara kichaa isiyo na tija

    Safi mkuu maanA kweli mim mwenyewe ni muhanga wa suala hilo
  6. M

    Masomo ya kilimo na ufugaji

    Asante nimependa sana msaada wako ntakufuta whattsapp yngu ni 0629638370
  7. M

    Tulime kitunguu pamoja

    Bado haijajitosheleza
  8. M

    Je upo kundi lipi kati ya haya

    Nimeiipenda naomba namna ya kuepukana na kuajiliwa
  9. M

    Naombeni kuuliza kuhusu vipimo vya ugumba na utasa

    Yes nimeelewa somo lakin bado kwa mwanamke inakuaje
  10. M

    Nikiwa na msichana namkinai, hivi nina pepo au ni tamaa tu?

    Mmh huwa inatokea lakni usiwekr kisingizio
  11. M

    Tujuzane kiwanja chenye watoto wazuri hapa Dar

    Laiv hats mid cjakuelewa kaka
Back
Top Bottom