wigs za kawaida ambazo sio za gharama sana kiukweli zinasaidia sana(zinaokoa pesa nyingi tunazotumiaga)coz nywele za mwanamke mpaka zitunzwe na zipendeze ni gharama sana..mara dawa,steaming,mafuta ya kukuza,ya mba,mara uzisuke ili zikue na huwezi suka twende kilioni ukaenda kazini au sehemu...