Haya uko sawa kwa Dar es salaam. Ila ukienda Nairobi kununua apartment ni kuwekeza. Maana kuna expats wemgi na makampuni makubwa duniani HQ za africa zipo pale.
Nilimpa ahadi nilipledge. Ni kwamba wanawake nao wana hamu kama sisi wanaume. Na wakiwa ovulation ni vigumu kukataa ngono kama sisi wanaume tulivyo. Wote sisi tunapenda kutombana. Hii wanaume wengi bado hawajaikubali.
Sijawahi kukataliwa na mwanamke yeyote. Siri ni maneno matamu na kumsifia mwanamke. Na sikuhizi wanawake wanashindana na wanaume. Jumapili iliyopita nilikutana na binti nilisoma nae enzi hizo. Katika kupiga story akaniomba nimpeleke kwao. Tukaishia kumbatona ndani ya gari . Baada ya kumaliza...
Kama una watoto wa nje hakikisha ndugu zako umewaweka vizuri. Ukifa hao ndio watatumika kama mtaji wa kuuza mali zako ili ndugu zako wapate kitu kidogo.
Kwa hio Ndugu Nyerere alijaza wazanaki serikalini ? Mwinyi alijaza wa pwani serikalini ? Mkapa alijaza wamakonde serikalini ? Kikwete alijaza wakwere serikalini ? Samia amejaza wazanzibari kwenye teuzi za wilaya nyingi huku Bara. Samia alijifunzia wapi kujaza watu wake. Na bado tusubiri Rais...
Mimi sio mwanasiasa nasema ukweli. Na kwa sasa watu wanaogopa kumsema vibaya Magu kwa kuogopa kukosa wafuasi l. Nyerere ndiye aliyetengeneza huu mfumo na Magubndiye aliyewaonyesha watu jinsi unavyoweza kutumika.
Hakuongelea kuwa tatizo ni CCM kubadili mgombea haisaidii. CCM ina mizizi mikubwa sana. Huoni Jeshi na polisi wote wako na CCM ? Aliongelea hili ? Kuhusu Magu, yeye ndio rais wa kwanza kupendelea alikotoka umeenda Zanzibar hivi karibuni ? Magu ndio rais wa kwanza kujaza watu wa alikotoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.