muhuni na .........wako wa kambo kama wewe ulivyo mtoto..........,nyie ndio vibaraka msio kuwa na mbele wala nyuma,nyambafu sana.Peopleeeeeeeeeeeeeeeees.
Simon punguza uoga man,Mwakasege namheshimu na kumpenda sana na pia aliwahi kunifundisha masomo ya dini wakati nikiwa 'o'level,sasa basi,nataka nikuambie kamanda Simon,akikubali huo upuuzi wa kujiunga na magamba kihindi tunasema kushney.Najua MUNGU anamsimamia kwa mambo mengi bt kwa hilo...
ukiona wamasia wamekubali mabadiliko ujue mambo ni mswano sasa,watu wa dar mnatuangusha sana,pilau za nini wakti nchi imekwisha na ufisadi???badilikeni ndugu zangu wa dar.Njooni R chuga muone mambo,peopleeeeeeeeeeeeeeeeeessssss
Nape malizia hiyo cause wewe ni domo kaya.
MUNGU BABA atuepushe na hili,
Lakini kama kuna watu feki katika utoaji wa taarifa feki ni hawa wa mamlaka ya hali ya hewa tz,huko walikosoma nina wasi wasi nako,vinginevyo hawana vyombo vya uhakika.That's it.
Ndio maana wamekata umeme tusione eeeh,watashangaa sana na sasa mpaka wake zao watahama. Peopleeeeeeeeeeeeeeeeees mkuchika malizia hii,sema poweeeeeeeeeeer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.