idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Wakuu kweli kabisa CDM imefanya kikao lakini hakuna hata chembe ya habari toka huko ndani? Sijui habari za Botilo lakini hili la kutaka taarifa ya jinsi wabunge walivyoisimamia serikali ili hali kuna mchakato wa kutaka kupeleka hoja ya kutokuwa na imani na PM kidogo nilishtuka.
mkuu kwani mbunge kila anachofanya bungeni lazima kiwe na baraka za chama.?kama ni hivyo mbona hata mwenyekiti mbowe alisain.? Lakini tusiongee sana labda ni uzushi tu kila kitu kiko sawa.!