wasipoomba radhi ndani ya siku tatu atachukua uamuzi gani.?[Huwezi jua kamanda,labda asipoombwa radhi atajiua,WHO KNOWS.aah Shibudaaaaahh!!! chezea CDM wewe???utakula ya mbuzi mwaya.]
Bavicha waliyataka wenyewe ..wangenyamaza wangefukuzwa kazi? ..mimi nawalaumu bavicha na nitaendelea kuwalaumu ..mngenyamaza watu hata wasingejua ila haya malumbano wala yasingepata coverage
Mbunge wa maswa mashariki (Chadema) Mh. Magale Shibuda amewapa siku 3 bavicha
wamutake radhi yeye na wapiga
kura wake kuhusu kutoa kauli
kwenye NEC ya ccm kugombea
urais anasema wana fikra hasi na
kusahau kuwa yeye ni mjumbe
wa APRM mpango wa
kujitathimini africa kwa hiyo
alikuwa anatoa mada kwenye NEC.