Imekuwa kawaida kusemea nafsi zetu pale huduma zinapochelewa kutolewa, kumbuka kwa sasa watumishi wa serkali hasa wa huduma za afya ni mzigo kwao. Mfano watumishi waliopo ni 124 wakati Ikama inasomeka 350 hebu Tazama gap between kilichopo na hutaki, nurse 1 wagonjwa 20, mapokezi mhudumu 1...
Sijui Nani mbaya, waliomuua na kuifanya Libya kuwa jehanamu, adui mkubwa wa afrika na dunia nzima ni mmarekani na mwingereza, ghadafi alitetea demokrasia ya kizazi kibishi cha sasa
Vijana wa kikosi kazi cha zamani, Gaddafi ana nafasi kubwa katika Bara la Africa pamoja na viongozi wakuu wengine kama vile, nyerere. Inkrumah, abde nasser, kaunda, haile Selassie, kamuzu banda, huyo Mandela anakwezwa na mabeberu kwa kuwa aliwahurumia makaburi ambao ni wazungu, kama kuumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.