Recent content by madiya85

  1. madiya85

    JamiiForums Tanzania TV4Sale STAR X

    INCHI 22 INA USB PORT, HDMI, EARPHONE PORT, DC AND AC ELECTRICITY 210,000 DSM HAINA TATZO LOLOTE BALI NATAKA CHUKUA 32 INCHI SERIOUSLY BUYER ONLY 0787 429 104. MBEZI LUIS.
  2. madiya85

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Nnao pure kienyeji kabisa hapa mbezi ya kimara wa miezi 4 na 5 wako 10 tu wana chanjo zote wote nauza 120000 bei haipungui kwako mfugaji nicheki 0787429104
  3. madiya85

    JamiiForums Tanzania Nanunua kuku wa kienyeji pure!!

    Nnao mbezi ya kimara wapo 10 wa miezi 4 na 5 wote 120000 pure kienyeji kabisa nicheki 0787429104 bei haipungui
  4. madiya85

    JamiiForums Tanzania KUKU PURE KIENYEJI WANAUZWA

    Kwako mfugaji kuku ni wa miezi 4 & 5 wako jogoo 2, tetea 8 wote bei 120000 wamepata chanjo zote wanapatkana mbezi ya kimara dsm 0787 42 91 04
  5. madiya85

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya uandishi wa makala

    Anayehitaji mtu wa kufanya kazi za uandishi wa habari au matukio au makala,mbalimbali zihusuzo siasa, jamii nipo hapa iwe ni kwenye blog au website nk. Nicheck 0683666702
  6. madiya85

    JamiiForums Tanzania Fursa: Tuanzishe day care ya watoto Dar

    NITUMIE NAMBA YAKO 0683666702
  7. madiya85

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke wangu mchafu

    Unataka nitmbelea MI siishi tegeta
  8. madiya85

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke wangu mchafu

    Wakuu nnamachungu sana nataman kuondoka daah sjui nfanyaje na nkimfokea tu anampgia cm MAMA ake japo MAMA ake ni mtu mwema sana kwangu
  9. madiya85

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke wangu mchafu

    Siye japo na huyu wng aliwAhi loweka mpaka funZa wakajitokeZa akazchimbia shimo
  10. madiya85

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke wangu mchafu

    Huo ndo ukweli sio hadithi
  11. madiya85

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke wangu mchafu

    Nimevumilia ninashindwa, sasa Leo alfajiri wakati najiandaa kwenda job daah! Nikakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa, ukimuulza hayo majibu yake khaa! Jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na naamini kwenda job kwake hajaoga maana nilimuacha...
  12. madiya85

    JamiiForums Tanzania maziwa fresh na mgando yanapatikana

    lita ni Tshs 2000 kwa fresh na. mgando karibuni
  13. madiya85

    JamiiForums Tanzania maziwa fresh na mgando yanapatikana

    kwa uhitaji wa mAziwa fresh na mgando ya ng'ombe wa kienyeji pure yanapatikana na nApokea oda hayana maji napatikana dsm mbezi luis nichek 0683666702
  14. madiya85

    JamiiForums Tanzania Maziwa yanapatikana

    ni wa kienyeji mnisaamehe..
  15. madiya85

    JamiiForums Tanzania Maziwa yanapatikana

    Ninapokea oder ya maziwa kuanzia Lita 20 ni wa ng'ombe wa kienyeji nakamua mi mwenyewe hakuna maji naruhusu upime kama kuna maji napokea oda za mahotel na binafsi napatikana Kongowe . Lakini akihitaji namletea iwe kuanzia Lita 20 nasisitiza siweki maji na ni ya ng'ombe wa kienyeji nipigie au...
Back
Top Bottom