Mkuu me napenda sana kuangalia move za upelelezi/ujasusi au za mission mbali mbali ila sizifahamu kabisa. Unashauri niangalie zipi ambazo ntaenjoy? Msaada tafadhali..
Me sina silaha za uwindaji zaidi ya silaha ya kujihami. Hvyo nadhani ntakosa sifa za uwindaji. Je kama nikienda selous, naweza kupata kampuni ya kulipia ili waniwindie mnyama nnayemtaka (mfano swala, digidigi au pofu) ili nitumie kama kitoweo kwa kuchoma, supu etc...
Me sio mjuaji sana ktk mambo ya mbuga na uhifadhi kwa ujumla. Me napenda kuona wanyama mbalimbali wakiwa hai (wakitembea au kuendelea na maisha yao) kupata history maisha yao, kula nyama pori etc... hvyo tu mkuu. Nadhani kwa maelezo yangu hayo, we kwa uzoefu wako unaweza kuona ni wapi patanifaa...
Ok vema. Me nahitaji kujua kutoka kwako, kuwa ni mbuga gani nzuri ya kutembelea hapa tz? Gharama zake zikoje? Na ni ipi njia rahisi ya kupata mawasiliano (Na wahusika/mamlaka) za hifadhi hzo kwaajili ya kutengeneza appointment etc..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.