Ukifika mwaka wa 4 halafu hakuna malengo ya pamoja uta surrender mwenyewe wala roho haitakuuma.
Nakushauri tafuta mnayeshabihiana malengo. Kama ana malengo yake ambayo wewe hayakuhusu maana haupo kwenye mipango yake. Usiegemee kuti kavu hilo wakati wowote linakatika. Fanya yako hakuna kitu hapo.
Ndoa zipo tena ni jambo jema, matatizo kwenye ndoa yalikuwepo yapo na yataendelea kuwepo hayakwepeki, single ladies/man wapo na wataendelea kuwepo. Kupanga ni kuchagua rafiki.
Mwambieni muda wa yeye kwenda kwa baba mtoto wake umefika.
Hapo kwa sababu anakula anashiba anachukulia poa.
Kama hataki kumtambulisha baba wa mtoto, Mfungasheni ndio atatia akili.
Replies
Kuna kituo Kigamboni kinasaifia watu wanaotaka kuachana na drugs plus pombe. Chukua likizo ili uweze kilitatua tatizo hili.
Frunky speaking sipendi mwanaume mlevi.
Iwe umeniacha au nimekuacha, I am sorry sirudii matapishi. Tunawasiliana ili iweje. Watu ni walewale kuna jipya gani limezuka mpaka gafla umekuwa mwema na anataka muwasiliane?
Labda kama bado mnatakana.
Hili halikwepeki. Hata ukila mzigo mara ngapi haijalishi kama kukimbia wewe nenda. Yupo atakae hudumia bila kelele maana anajua nafasi yake kama mwanaume.
Mwanaume ni majukumu sio kuuza sura.
Wakati mwingine sio kwamba binti akikupa K maana yake ame-fall. Inawezekana kabisa tamaa za mwili zikamsukuma kufanya hivyo lakini moyoni mwake haupo kabisa.
Ni bora alivyokwambia ukweli ambao wengi hamuupendi.
Waliosoma sana kwenye mahusiano ni zero. Halafu mara nyingi wanaamini wewe ndio unatakiwa kujikomba kwao. Yaani kuwa na wewe ni kama amekupa msaada. Ni sheeeeda hao watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.