Recent content by madameA

  1. M

    Ukimya wake unaniumiza

    Ukifika mwaka wa 4 halafu hakuna malengo ya pamoja uta surrender mwenyewe wala roho haitakuuma. Nakushauri tafuta mnayeshabihiana malengo. Kama ana malengo yake ambayo wewe hayakuhusu maana haupo kwenye mipango yake. Usiegemee kuti kavu hilo wakati wowote linakatika. Fanya yako hakuna kitu hapo.
  2. M

    Haya ndiyo maradhi yanayo utesa moyo wangu, ni wakati muafaka wa kutafuta tiba

    Mkuu ungeweka wasifu wako ili vigezo na masharti vizingatiwe.
  3. M

    Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

    Ndoa zipo tena ni jambo jema, matatizo kwenye ndoa yalikuwepo yapo na yataendelea kuwepo hayakwepeki, single ladies/man wapo na wataendelea kuwepo. Kupanga ni kuchagua rafiki.
  4. M

    Wana MMU pombe itaniachanisha na mpenzi

    Duu! mbona kama una hasira. Umeleta mwenyewe matatizo yako jamvini. Ulitakaje nikusifie. sorry oooooooh chineke.
  5. M

    Binti yako akipata ujauzito nyumbani utafanyaje?

    Mwambieni muda wa yeye kwenda kwa baba mtoto wake umefika. Hapo kwa sababu anakula anashiba anachukulia poa. Kama hataki kumtambulisha baba wa mtoto, Mfungasheni ndio atatia akili.
  6. M

    Wana MMU pombe itaniachanisha na mpenzi

    Replies Kuna kituo Kigamboni kinasaifia watu wanaotaka kuachana na drugs plus pombe. Chukua likizo ili uweze kilitatua tatizo hili. Frunky speaking sipendi mwanaume mlevi.
  7. M

    Kuna umuhimu wa kuwasiliana baada ya kuachana?

    Iwe umeniacha au nimekuacha, I am sorry sirudii matapishi. Tunawasiliana ili iweje. Watu ni walewale kuna jipya gani limezuka mpaka gafla umekuwa mwema na anataka muwasiliane? Labda kama bado mnatakana.
  8. M

    Ni ukweli wanawake tegemezi wanaume tunawachukia

    Hili halikwepeki. Hata ukila mzigo mara ngapi haijalishi kama kukimbia wewe nenda. Yupo atakae hudumia bila kelele maana anajua nafasi yake kama mwanaume. Mwanaume ni majukumu sio kuuza sura.
  9. M

    Wanaume amkeni acheni kulalama

    Huyo mwanaume atakaye kaa anapigia bajeti hela yangu atakuwa amechemsha. Ajiandae kulala na njaa. Hakuna msaafu wala bibilia inayosema mwanamke atamlea mwanaume. Ujumbe umefika, nafikiri kila mmoja ataanza kujitathimini. Na wanawake muache kubeba majukumu yasiyokuwa yenu. Mungu aligawa...
  10. M

    Yamenikuta, msaada tafadhali

    Wakati mwingine sio kwamba binti akikupa K maana yake ame-fall. Inawezekana kabisa tamaa za mwili zikamsukuma kufanya hivyo lakini moyoni mwake haupo kabisa. Ni bora alivyokwambia ukweli ambao wengi hamuupendi.
  11. M

    Over 30 wanauzoefu na mahusiano jamani

    Makubwa. Siamini kama kibao kimegeuka. Ilikuwa ni kuwaponda tuuu wadada ambao umri wao ni 30+. Kumbe ilikuwa ni sitaki nataka.
  12. M

    Jamani wanaume wasomi mna nini?

    Waliosoma sana kwenye mahusiano ni zero. Halafu mara nyingi wanaamini wewe ndio unatakiwa kujikomba kwao. Yaani kuwa na wewe ni kama amekupa msaada. Ni sheeeeda hao watu.
  13. M

    Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

    Nikhil Sasa kama hela ya voucher tu mapovu yanakutoka. Majukumu ya familia utayaweza kweli?
Back
Top Bottom