Ukimya wake unaniumiza

Ukimya wake unaniumiza

mtafute mwenye haraka na ndoa kama wewe muendeleze maisha, ila siamini kama kuna mwanaume wa miezi 3 ndoa. jaribu kuvuta subira kidogo kama ana malengo mbona utamjua.
 
huo mkia unatoa juice ambayo ni tamuu hiyooo, ndio maana huyu mdadaa anaulilia ashaonja utamu wake!
 
kwa jibu hilo tambua kua ww sio chaguo la kwanza kwake! kuna anaempenda zaid yako! ww wa kupita
 
Huyu mtaka ushauri mbona sijamuona tena kujibu baadhi ya maswali?
 
Pole dada lakini nakushauri usimtafute coz umemwambia jambo la msingi yy kajibu anamipango yake km ipo ipp tu na km haipo hata ubinukeje ni kaz bure tu ,jikung'ute vumbi endelea na maisha yako by the way life is too short to be sad
 
unampenda asie kupenda.....................achana nae usijipe pressure
 
Vuta subira wewe.....kwani hujui kuwa subira inavuta kheri....

Subira inavuta heri kwa Mungu si kwa Mwanadamu , Ndugu huyo Mwanaume Hajakupenda bado yupo safarini...sanasana utaishia kumngangania halafu mbele yakutokee puani , pole ni kawaida hiyo angalia barabara nyingine hiyo Mabonde Mengi Mwanakwetu
 
Ninti LAKI kwa jibu hilo mwanaume hakupendi wala hana future na wewe. Take my words. Ukilazimisha utapoteza muda na hatakuoa. Chapa lapa uwe huru upate mwingine.
 
Last edited by a moderator:
ukishaona Mwanaume Unambembeleza bembeleza , Mara kosa akose yeye Msamaha uombe wewe Nop huyo si Ubavu wako Amini nakwambia , Yule Uliyeandikwa kwa ajili yako hata Changamoto huwa za kawaida tu , so huyo si wako Muombe Mungu akupe Macho Uone ....
 
Habarini za asubuhi wana Jamiiforums

Nombeni ushauri wenu, nina mpenzi . Jana nikauliza naomba kujua msimamo wako juu ya mahusiano yetu. Akajibu binafsi nina malengo na ndoto zangu kama unaona nakuchelewesha nakuruhusu nenda kwa mwingine atayekuoa haraka.

Sikumiibu chcochote na mawasiliano yakaishia pale. Kila mmoja yupo kimya, ukweli mimi naumia maana ninampenda,
sasa wadau nishaurini nianze tu mimi kumtafuta? Au niendelee kukaa kimya au nifanyeje?

Ushauri tafadhali- mahusiano yetu yana mwaka sasa.

Hili swala sijalipatia majibu kwakwel maana jana jion nimekwazana na G friend wangu, na insu kubwa ilikua na hiyo hiyo mstakabali wa maisha yetu mpaka mida ya saa nne asubuhi hatukua na mawasiliano yotote, "LAKI" Kama kweli ni wewe mpenzi wangu naomba tusaahu yaliyopita na tukae chini tumalize tofauti zetu maana nakupenda sana mpenzi wangu husifuate kila neno la JF maana watu wengine hawana ushauri mzuri.
 
Kuna watu wanaushaur umu ndani kama nguvu za giza mtu kasema wazi anampenda... anashindwa kumwacha we unashaur tu mwache usije fata ushaur huo... fata moyo wako fill the pain... umia na moyo ndo kukua kimapenz uko.. itafika tym mwenyewe utamwacha..... #time is the best dctor jst Give it time
 
Stori mbona imepwaya? Kama ni jana tu mmechuniana kwani una hofu gani dada LAKI?
 
Last edited by a moderator:
Habarini za asubuhi wana Jamiiforums

Nombeni ushauri wenu, nina mpenzi . Jana nikauliza naomba kujua msimamo wako juu ya mahusiano yetu. Akajibu binafsi nina malengo na ndoto zangu kama unaona nakuchelewesha nakuruhusu nenda kwa mwingine atayekuoa haraka.

Sikumiibu chcochote na mawasiliano yakaishia pale. Kila mmoja yupo kimya, ukweli mimi naumia maana ninampenda,
sasa wadau nishaurini nianze tu mimi kumtafuta? Au niendelee kukaa kimya au nifanyeje?

Ushauri tafadhali- mahusiano yetu yana mwaka sasa.

Ukifika mwaka wa 4 halafu hakuna malengo ya pamoja uta surrender mwenyewe wala roho haitakuuma.

Nakushauri tafuta mnayeshabihiana malengo. Kama ana malengo yake ambayo wewe hayakuhusu maana haupo kwenye mipango yake. Usiegemee kuti kavu hilo wakati wowote linakatika. Fanya yako hakuna kitu hapo.
 
Back
Top Bottom