Usikate tamaaa kabisa yupo tu aliyeumbwa kwa ajili yako jipe moyo mkuu wanaume mmeumbwa ili upambane na maisha kumbuka utakula kwa jasho hayo ni changamoto ktk maisha jichanganye ktk jamii utafanikiwa tu pia muombe sana mungu wako
Kaka kuwa makini ktk huo ugomvi unapowashauri kuna msemo usemao "wapendanao wakigombana chukua jembe ukalime siku wakipatana chukua kikapu ukavune" nilishawah kusuluhsha ugomvi wa rafiki yangu mmoja walipopatana .nikageuziwa kibao. Huyo dada aliingia kwenye ndoa alikuwa hajajipanga.
Habari wadau MMU!
Maisha siku zote yana changamoto zake na siku zote lazima upite katika majaribu. Nakumbuka nilishawahi kuomba ushauri kuhusu majirani walivyonikosanisha katika mahusiano na mwenzangu.
Nashukuru wote walionishauri, ushauri wenu niliufanyia kazi na kufanya uchunguzi nilijaribu...
Wapendwa,
Nilikuwa na mchumba wangu ambae tumezaa naye mtoto mmoja, tumehitilafiana hataki kuniona wala kumuona mtoto. Nimejitahdi sana niweze kuonana naye ili tuyazungumze, lakini hataki na amenikataza kukanyaga nyumbani kwake chanzo ni mume wa mpangaji mmoja alimpigia simu pindi yupo safari...
cha msingi hapo ni kuwa na imani halafu wale waliowapa siri muwafate muongee nao vizur wawaonyeshe huyo mganga aliyefanya hivyo nanyi mkamkomboe kwa huyohuyo mganga maana waganga huwa vigeugeu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.