madam semah
Member
- May 22, 2015
- 16
- 2
Habari wadau MMU!
Maisha siku zote yana changamoto zake na siku zote lazima upite katika majaribu. Nakumbuka nilishawahi kuomba ushauri kuhusu majirani walivyonikosanisha katika mahusiano na mwenzangu.
Nashukuru wote walionishauri, ushauri wenu niliufanyia kazi na kufanya uchunguzi nilijaribu kuoanisha na masuala mbalimbali na niligundua kuwa alikuwa anatafuta sabab ili tuachane.
Nakumbuka mwana MMU mmoja alisema anakwepa majukumu ya kumuhudumia mtoto nikagundua ni kweli kwani kila nikimuomba pesa ya mtoto najibiwa sina pesa ili hali anafanya kazi hatimae niliamua kuacha kumuomba pesa.
Mwishoe nilimbana ndipo nilijibiwa kuwa sina mpango tena na wewe chanzo nimerudiana na mchumba wangu wa zamani niliamua kukata mawasiliano naye na kuendelea na maisha yangu.
Maisha siku zote yana changamoto zake na siku zote lazima upite katika majaribu. Nakumbuka nilishawahi kuomba ushauri kuhusu majirani walivyonikosanisha katika mahusiano na mwenzangu.
Nashukuru wote walionishauri, ushauri wenu niliufanyia kazi na kufanya uchunguzi nilijaribu kuoanisha na masuala mbalimbali na niligundua kuwa alikuwa anatafuta sabab ili tuachane.
Nakumbuka mwana MMU mmoja alisema anakwepa majukumu ya kumuhudumia mtoto nikagundua ni kweli kwani kila nikimuomba pesa ya mtoto najibiwa sina pesa ili hali anafanya kazi hatimae niliamua kuacha kumuomba pesa.
Mwishoe nilimbana ndipo nilijibiwa kuwa sina mpango tena na wewe chanzo nimerudiana na mchumba wangu wa zamani niliamua kukata mawasiliano naye na kuendelea na maisha yangu.