Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
Kua wawili sio kuchoka
Baba angu mkubwa ana wake wawili I can say he's the happiest man on earth
Na wake zake wanapendana adi sio vzuri
Tofauti na the so called ndoa ya mke mmoja na mme mmoja
Ni the way we perceive things but my husband hatanioa peke angu tutakua wawili kanisa linisamehe
Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka.
Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida. Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili yaani NatAman isivo kawaida.
Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida...
Sintofaham imetoke katika chuo Cha Moshi catholic university ambapo wanafunzi wanaondelea na masomo yaan second year na third year wamebandikiwa allocation mpya za mkopo
Ambazo zinaonesha mikopo Yao kupunguzwa lakini vyuo vingine havijafanyiwa ivo.
Mdogo angu ambae anasoma hapo anasema hawaelewi...
Mlioomba kazi kupitia recruitment portal ya Tz mnipe muongozo mmewezaje kuikamilisha profile maana leo ni siku ya pili nakwama plus profile picture inagoma kuaupload
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.