Madam secretary
Member
- Mar 6, 2015
- 70
- 221
Mlioomba kazi kupitia recruitment portal ya Tz mnipe muongozo mmewezaje kuikamilisha profile maana leo ni siku ya pili nakwama plus profile picture inagoma kuaupload
Inawezekana kabisa. Jitahidi kuongeza umakini na pia punguza size ya imageMlioomba kazi kupitia recruitment portal ya Tz mnipe muongozo mmewezaje kuikamilisha profile maana leo ni siku ya pili nakwama plus profile picture inagoma kuaupload
Ingia kuanzia saa sita usk - kumi alfajiri utakua unateleza tuMlioomba kazi kupitia recruitment portal ya Tz mnipe muongozo mmewezaje kuikamilisha profile maana leo ni siku ya pili nakwama plus profile picture inagoma kuaupload
1. Jaza kila sehemu vizuriMlioomba kazi kupitia recruitment portal ya Tz mnipe muongozo mmewezaje kuikamilisha profile maana leo ni siku ya pili nakwama
4. Angalia heinght na width ya picha yako.plus profile picture inagoma kuaupload
yabid uwe mvumilivu ni kweli ina changamoto ila yatakiwa ujaribu mara kwa mara itakubaliMlioomba kazi kupitia recruitment portal ya Tz mnipe muongozo mmewezaje kuikamilisha profile maana leo ni siku ya pili nakwama plus profile picture inagoma kuaupload
kama unaikumbuka email uliyojiunga nayo iweke afu tafuta sehemu iliyoandikwa forgot password watakumia password mpya kisha unalog inMie wakuu nishasahau login details mpaka nikiweka email inakataa. Nilikuwa na profile iliyofikia 97%.msaada please wadau
Mpaka email mkuu nishasahau. Na nimejiunga last year Novemberkama unaikumbuka email uliyojiunga nayo iweke afu tafuta sehemu iliyoandikwa forgot password watakumia password mpya kisha unalog in
jarib kukumbuka email yako uliyoitumia
Hao ndio ma-IT wa TanzaniaHyo portal inasumbua aisee nilikuwa namu apply mdogo wangu nilikoma nilitumia siku nzima hafu ilikuwa inasumbua, na nilitumia network ya voda. In short hyo portal imezidiwa
du hilo tatizo sasa ndugu yangu bila email nadhani inakuwa ngumu kuloginMpaka email mkuu nishasahau. Na nimejiunga last year November
Yani imagine nafasi 1000 inazidiwa hyo website full usumbufu. Dah Mimi siko huko ila kupitia kusaidia watu nimekuwa mzoefu, but this time it's too much wallah
Hao ma-IT ukiwakuta wanavyozunguka kwenye viti ofisini Sasa utasema sio Hawa wenye kusimamia mifumo iliyojaa Bugs.Yani imagine nafasi 1000 inazidiwa hyo website full usumbufu. Dah Mimi siko huko ila kupitia kusaidia watu nimekuwa mzoefu, but this time it's too much wallah
katika vitu muhimu vya kuhifadhi kwa dunia ya sasa ni email huu ni ulimwengu wa kidigatal mkuuMpaka email mkuu nishasahau. Na nimejiunga last year November
Wengi walicremisha tu madesa mkuu, so huo ubunifu ndio umefika mwishoHao ma-IT ukiwakuta wanavyozunguka kwenye viti ofisini Sasa utasema sio Hawa wenye kusimamia mifumo iliyojaa Bugs.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kama alijiungia na Nida itamsumbua mpakakatika vitu muhimu vya kuhifadhi kwa dunia ya sasa ni email huu ni ulimwengu wa kidigatal mkuu
nadhan ulikuwa huitumiii mara kwa mara
ila usikate tamaa ilikishindikana kabisa fungua email mpya kisha jiunge kama mtandao upo vizuri ni ishu ya siku moja tu unamaliza kila kitu
ni shidaKama alijiungia na Nida itamsumbua mpaka