Hii ina ukweli, kila baada ya muda fulani huwa naota maisha ya kale nipo sehemu moja hivi ambayo inafanana mara zote, nimeshawahi kuota zaidi ya mara 5 na eneo lenyewe daah! Huwa nafikiria saana! Mbaya zaidi mabasi yale ya zamani sana, halafu miundomibunu mibovu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.